Mkuu ni hivi,kwenye taarifa ya habari tbc leo usiku wametangaza kua kuna aina flani ya dawa za kupunguza makali ya VVU,ambazo hutumiwa na wagonjwa wa Ukimwi.Marekani wao kuitumia kama kinga ya Ukimwi,kivipi?hawakuelezea kiundani,hivyo nikua nawataka wataalamu waliosikia watujuze kitaalamu zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.