Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Tulieni mtamuona ila sio Manji.Yupo wapi afisa muajiri na mtendaji wa kampuni?
Tulieni mtamuona ila sio Manji.Yupo wapi afisa muajiri na mtendaji wa kampuni?
Think tank ya awamu hii haipo smart. Too mechanical
Ilishawahi kutokea hii hapa nchini? Mtumiaji akafungwa?Mtumiaji kwa mujibu ya sheria anaweza kufungwa miaka mitatu
Imesahau kuwa walienda kumpekuwa! Je una uhakika na walichokikuta huko? Kamanda Sirro amesema atakutana na waandishi kesho asbh. So stay tuned!Hapo sasa kwenye mimbari ndiyo Mkemia mkuu ataanza kujiuma-uma.
Huangalizialipandishwa mahakamani na waliwekwa chini ya huangalizi wa miaka 3
Nini mtazamo wako bi FaizaFoxy kuhusu sakata hili la Manji.Nimegoogle nimekuta hata mtumiaji wa antibiotics hususan amoxicillin ana test positive akipimwa cocaine.
TID alipandishwa kizimbani ??Mahakamani kama walivyopelekwa kina TID.Haki lazima itendeke kwa wote.ila kumbe tunapozungumzia mateja, tunawazungumzia watu kama manji. Nimejifunza jambo zito sana
Imenibidi nikaangalie tena press conference ya maji kabla ya kujisalimisha..Manji atachomoka kweli? Sijui
Hospitali au vituo maalumu kama tulivyozoea kwa waliobainika hivyo. Vinginevyo labda kama utaratibu umebadilishwa.Hivi mtumiaji anapelekwa hospital Au mahakamani?
Safiiii, leo umenifurahisha. Huo ni ukweli kabisaaaaaaaNimegoogle nimekuta hata mtumiaji wa antibiotics hususan amoxicillin ana test positive akipimwa cocaine.
Mbona TID alifikishwa mahakamani?Chid Benz
Ray C
TID
Watu wote ambao wapo kwenye tiba kwann wasifikishwe na iwe Manji tu
Kwa hiyo kesi ameshashinda? nahisi kuna mtu kaiba password yako-wewe si mtu wa kutoa vitu nusunusu na juu juuNimegoogle nimekuta hata mtumiaji wa antibiotics hususan amoxicillin ana test positive akipimwa cocaine.
Wengi tu wako magerezani wamekutwa na kete au misokoto ya bangi kwa matumizi yao binafsi hata wanaotumia mirungi wanakamatwa na wanafikishwa mahakamani hasa za mwanzo.Ilishawahi kutokea hii hapa nchini? Mtumiaji akafungwa?
Bibi sometimes huwa una pointNimegoogle nimekuta hata mtumiaji wa antibiotics hususan amoxicillin ana test positive akipimwa cocaine.
Mwenyekiti wa Yanga Yusuf Manji kupandishwa Mahakamani kesho kwa matumizi wa dawa za kulevya.
Kamishna Simon Sirro amethibitisha.
Uthibitisho hupatikana mahakamani.....
Kuna Watu humu humu mlinitukana na kunidhihaki mno tokea majuzi nilipokuwa nasema tena kwa uhakika kabisa kuwa Yusuph Mehboob Manji anatumia dawa za Kulevya. Je baada ya uthibitisho huo mna jingine tena? Kesho atapewa dhamana ambayo ' itamfilisi ' kila alichonacho au atanyimwa dhamana kwa aina ya Kosa lake na kulingana na Ripoti ya Police juu yake itakavyoelezea. Vyovyote itakavyokuwa akiwa anatoka tu UHAMIAJI nao watamkamata hapo hapo na atafinguliwa Kesi nyingine na atakaa tena ' rumande '. Dharau yake aliyoionyesha Alhamisi iliyopita kwa Mamlaka sasa ndiyo inammaliza. Akome!