MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 705
Waungwana,
Leo nimeona demonstration ya teknolojia itakayowezesha kukomesha wizi wa mitihani ya kitaifa ya Shule za Msingi, Sekondari na Vyuo vya Kitaaluma. Teknolojia hii inafaa hata kwa kuzuia nyaraka mbali mbali zilizoko kwenye tarakinishi (soma "computer") zisionekane na watu wasiotakiwa/wasiohusika.
Swali la Kwanza: Je, Serikali iko tayari kukubali teknolojia hii itumike kudhibiti wizi huo wa mitihani, ili Watanzania watakaohitimu masomo yao na kupata vyeti wawe wamehitimu kwa kustahili, na si kwa njia wizi?
Naomba jibu.
Swali la Pili: Je, iwapo Serikali itakuwa tayari kukubali teknolojia hii itumike, nimwone nani na kwenye taasisi gani, ili tuanze majadiliano ya kusonga mbele?
./Mwana wa Haki
Leo nimeona demonstration ya teknolojia itakayowezesha kukomesha wizi wa mitihani ya kitaifa ya Shule za Msingi, Sekondari na Vyuo vya Kitaaluma. Teknolojia hii inafaa hata kwa kuzuia nyaraka mbali mbali zilizoko kwenye tarakinishi (soma "computer") zisionekane na watu wasiotakiwa/wasiohusika.
Swali la Kwanza: Je, Serikali iko tayari kukubali teknolojia hii itumike kudhibiti wizi huo wa mitihani, ili Watanzania watakaohitimu masomo yao na kupata vyeti wawe wamehitimu kwa kustahili, na si kwa njia wizi?
Naomba jibu.
Swali la Pili: Je, iwapo Serikali itakuwa tayari kukubali teknolojia hii itumike, nimwone nani na kwenye taasisi gani, ili tuanze majadiliano ya kusonga mbele?
./Mwana wa Haki