Dawa ya waongo

Mzee alinunua robot ambalo mtu akiongea uongo linampiga kibao, dogo akaulizwa na baba yk umepata ngapi kwenye mtihani? Dogo akajibu 100,mara robot likamchapa kofi,baba akasema mi enzi zangu nlikuwa natokea wa kwanza, mara nae kofii, dogo akaanza kucheka,mama akasema we unacheka nini unajua huyo ni baba yako!!! Mara nae kofi!! Unajua kwa nini mama naye alipigwa!?
 
Back
Top Bottom