Dawa ya Wanawake Wambea Hii Hapa

Dawa ya Wanawake Wambea Hii Hapa

Ndallo

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
7,619
Reaction score
4,303
3161304605.gif
 
Hakuna Ngumi inayouma kama Ngumi ya Pua!
 
Zanzibar huwa wanasutwa mchana kwa karabai saba na beni. Inauma kuliko ngumi mia.
 
Hakuna Ngumi inayouma kama Ngumi ya Pua!

Hainaga majibu ile...ikikupata bara bara lazima utumie kama dakika 10 to come back to your senses, hapo mwenzio keshaanza zamani na ushindi kapewa!
 
Mnh, anaonekana katumia nguvu zake zote!
 
weraaweraa unapigwa ngumi ya pua unahisi jino limetoka!!huyo mama hafai kabisaa duniani
 
Ha ha haaaaaaaaa!!Nimecheka sana aisee duh!Ngumi nzito mpaka bibi wa watu amepepesuka.
 
Back
Top Bottom