Dawa ya tatizo wakati wa mechi kali

Somoleo

Member
Sep 22, 2010
13
1
Please help.

Nina appointment na mtoto wa Kinyarwanda weekend hii. Je wapi naweza pata dawa VIAGRA au yoyote inayofanana na viagra ili kusaidia wakati wa penzi.
Kwani huwa napata tabu sana ninapokuwa naye kwenye 6 x 6; hivyo nahitaji msaada jamani! pia sijawahi kutumia (bali nasikia huwa inasaidia); je ina madhara???
 
Mkuu zina madhara dont use it hasa kama una magonjwa ya moyo, tumezika marafiki wengi wamefia kwenye mechi
 
Kwa umri wako (inavoonekana hata huna mke) kama umeanza kutumia hizo dawa, pole...:sick:
 
Please help.

Nina appointment na mtoto wa Kinyarwanda weekend hii. Je wapi naweza pata dawa VIAGRA au yoyote inayofanana na viagra ili kusaidia wakati wa penzi.
Kwani huwa napata tabu sana ninapokuwa naye kwenye 6 x 6; hivyo nahitaji msaada jamani! pia sijawahi kutumia (bali nasikia huwa inasaidia); je ina madhara???
usitumie Viagra ina madhara sana kama walivyosema wenzangu. Kunywa kahawa chungu kikombe kimoja nusu saa kabla ya mechi na ukipata chokoleti kula pia itakusaidia kupata nguvu za kuweza kucheza mechi yako vizuri.
 
Please help.

Nina appointment na mtoto wa Kinyarwanda weekend hii. Je wapi naweza pata dawa VIAGRA au yoyote inayofanana na viagra ili kusaidia wakati wa penzi.
Kwani huwa napata tabu sana ninapokuwa naye kwenye 6 x 6; hivyo nahitaji msaada jamani! pia sijawahi kutumia (bali nasikia huwa inasaidia); je ina madhara???

Mkuu Viagra inaweza kukuletea madhara makubwa sana na hata kuweza kupoteza maisha. Hivyo ni bora kuviepuka kabisa au kama ni lazima utumie basi kwanza inabidi ukamuone Dr akupime afya yako ili kuona kwamba matumizi yake hayataathiri afya yako kwa namna moja au nyingine

 
Please help.

Nina appointment na mtoto wa Kinyarwanda weekend hii. Je wapi naweza pata dawa VIAGRA au yoyote inayofanana na viagra ili kusaidia wakati wa penzi.
Kwani huwa napata tabu sana ninapokuwa naye kwenye 6 x 6; hivyo nahitaji msaada jamani! pia sijawahi kutumia (bali nasikia huwa inasaidia); je ina madhara???

Acha! Acha! Ndugu yangu napenda kukuasa kuwa matumizi ya dawa ya Viagra Yanaweza kukuletea matatizo. Hapa sina maana ya kuwa Viagra haisaidii, hapana! nina maana kuwa endapo una maradhi yasiodhahiri (Underline Cardiac disease) itachukua muda mfupi sana ugonjwa huo kukusaidia kupoteza maisha. Viagra ina ingiliana na mfumo wa Cardiac conduction unaoitwa AQTS,na endapo mfumo huo unalega lega ingawa hujui basi hapo ni msiba. Nalazimika kutumia maneno makali kwasababu tumeshashuhudia madhara haya na tuna proof za kitaalamu.
Pia kumbuka kuwa Viagra humsaidia mtu ambaye uwezo wake ni hafifu sana na si rijali anayetaka kukomoa mtu. Kama inabidi utumie hiyo dawa basi kawaone madaktari wakupime mfumo wa moyo kwanza. Ukipuuza ushauri huu unaweza usiwe na nafais ya kuuliza daima milele.
 
fanya mazoezi kuweka mwili safi baada ya hapo utaona jinsi pump yako inavyofunguka hiyo ndiyo dawa
 
kiongozi take it easy...you will make it perfect. kwan unataka kumkomoa..self confidence is the most important thing broda..viagra :nono:
Please help.

Nina appointment na mtoto wa Kinyarwanda weekend hii. Je wapi naweza pata dawa VIAGRA au yoyote inayofanana na viagra ili kusaidia wakati wa penzi.
Kwani huwa napata tabu sana ninapokuwa naye kwenye 6 x 6; hivyo nahitaji msaada jamani! pia sijawahi kutumia (bali nasikia huwa inasaidia); je ina madhara???
 
Mi naona wote wanakuzingua hakuna anayekupa msaada unaohitaji, tafuta kitu inaitwa ENZYO hiyo ni mwisho wa matatizo. Halafu usirudi kusema asante ndio utaona!!
 
kwani unapoishi akuna wamasai wana vodafasta zao unakula na karanga mbichi yani mzuka unapanda fasta tu
 
Please help.

Nina appointment na mtoto wa Kinyarwanda weekend hii. Je wapi naweza pata dawa VIAGRA au yoyote inayofanana na viagra ili kusaidia wakati wa penzi.
Kwani huwa napata tabu sana ninapokuwa naye kwenye 6 x 6; hivyo nahitaji msaada jamani! pia sijawahi kutumia (bali nasikia huwa inasaidia); je ina madhara???


Mkuu kuna hii inaitwa STUD 100 ni nzuri na inafanya kazi vizuri,ila fata kama wadau walivyokushauri hapo juu kwamba madawa hayafai kabisa hasa yakikuzoea inakuwa tabu kidogo............
 
Back
Top Bottom