LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,349
- 36,302
Baada ya kufanya uchunguzi wangu wa kina, nimefanikiwa kujiridhisha pasi na shaka yoyote kwamba kinacho mfanya she. Ponda kuwa mbishi namna hiyo ni " ATTENTION". Huyu jamaa anapenda sana kuwa anaandikwa andikwa kwenye vyombo vya habari ndo maana haishi vituko. Anacho kitaka hasa ni publicity, hakuna kingine zaidi ya hicho.
DAWA YAKE ; JUST IGNORE HIM, DO NOT REPORT ANYTHING ABOUT HIS SO CALLED MOVEMENT, NA MWISHO WA SIKU ATACHOKA TU MWENYEWE..
Akiwa anafanya harakati zake halafu zikawa haziandikwi kwenye vyombo vya habari atagundua kuwa watanzania wamempuuzia., so his so called movements will die a natural death na watanzania tutaendelea kuishi kwa amani, utulivu na upendo kama ilivyo jadi yetu.
DAWA YAKE ; JUST IGNORE HIM, DO NOT REPORT ANYTHING ABOUT HIS SO CALLED MOVEMENT, NA MWISHO WA SIKU ATACHOKA TU MWENYEWE..
Akiwa anafanya harakati zake halafu zikawa haziandikwi kwenye vyombo vya habari atagundua kuwa watanzania wamempuuzia., so his so called movements will die a natural death na watanzania tutaendelea kuishi kwa amani, utulivu na upendo kama ilivyo jadi yetu.