Dawa ya ndoa na mahusiano salama

Dawa ya ndoa na mahusiano salama

biscut

Member
Joined
May 24, 2014
Posts
20
Reaction score
7
Wanajamii tukubali au tukatae ukweli unabaki palepale mungu alivyotuumba hakutuacha binadamu tuishi kama mifugo ambayo haina wa kuichunga.

Tatizo tumemwacha mungu tumeamua kuishi maisha machafu ya dhambi ndiyo maana vilio kila siku haviishi mara huyu kaachwa na mume wake na huyu na mchumba wake yote hayo unasababisha wewe mwenyewe umemkataa mungu awe kiongozi wa maisha yako alafu unapiga kelele kuhitaji msaada wa mungu wakati umemkataa kwa kuchagua maisha yako ya dhambi.

Mpokee yesu atayabadilisha maisha yako na atakuondolea vilio acha ubishi utaendelea kuteseka mwezako nimeamua kuchukua hatua.Yesu anakupenda na anakusubiri uchukue maamuzi katika shida yako ndipo aweze kuja kukusaidia.yohana3:16:A S angel:
 
kanisa lako linapatikana wapi nije kwenye maombi?
 
Amina ndg,ujumbe ni mzuri sana,YESU azidi kukutumia!Hallelujah!
 
Mleta mada ana hoja yenye ukweli mtupu. Michepuko kwa walio wengi ni kutokana na kutotembelea mbele ya macho ya Mungu, Mungu anawekwa kando. Hatua ya kwanza kama mwenza anafanya michepuka utaona anaanza kusuasua kupokea ekaristi takatifu ambayo sharti lazima uwe na usafi wa moyo. Kitakachofuatia ni kuanza kufifia mahudhurio kanisani. Yote ni dalili ya dhamiri kubutukuka. Atakapofikia hatua ya kuacha kabisa kwenda kanisani ujue dhamiri ilishakufa na kinachoendelea kujiruhusu kutambaa matopeni. Nini kitafuata baada ya hayo........?
 
Kwakweli this is the Most lovely thread ....ukiwa na hofu ya Mungu ndani yako,hata mabaya utaona aibu kuyafanya......
Huwa natamani sana sana kupata mtu mwenye Kumuogopa Mungu,huyo atajiheshimu hata katika matendo..
Poor this world,tumejaa tuliompa mgongo muumba,Atunusuru tu
 
Kwakweli this is the Most lovely thread ....ukiwa na hofu ya Mungu ndani yako,hata mabaya utaona aibu kuyafanya......
Huwa natamani sana sana kupata mtu mwenye Kumuogopa Mungu,huyo atajiheshimu hata katika matendo..
Poor this world,tumejaa tuliompa mgongo muumba,Atunusuru tu

Dhahiri kutembea mbele ya macho ya Mungu ni kuwa mwangani, lakini kumweka kando Mungu ni sawa na kujiruhusu kutembea gizani ambako ni ulimwengu wa ibilisi. Yatakayojilia gizani utayaonaje wakati mwanga unaokumulika kwa usalama wako umeuacha? Hatima na kudondoka na kuangukia pua au kifo cha mende.
 
Dhahiri kutembea mbele ya macho ya Mungu ni kuwa mwangani, lakini kumweka kando Mungu ni sawa na kujiruhusu kutembea gizani ambako ni ulimwengu wa ibilisi. Yatakayojilia gizani utayaonaje wakati mwanga unaokumulika kwa usalama wako umeuacha? Hatima na kudondoka na kuangukia pua au kifo cha mende.
Very true,asiyeielewa hii thread kwakweli ,.....ndo basi tena
 
ICHANA Hata mimi nakubaliana naye uzi unaafya
Je unayazingatia hayo?

Nayazingatia mkuu hasa napogundua si kwa akili wala kwa nguvu zangu Bali kwa Roho Mtakatifu
Binadamu ni warahisi kukulaumu na wagumu wa kusamehe, wengi wamekuwa marafiki wa kinafiki
Yesu pekee ndo rafiki na mfariji wa kweli
Nazingatia haya katika maisha Yang kwa maana hakuna Siku aliyowah kuniacha kwenye shida au raha peke Yang.amejufa msalaban kuonyesha upendo wake wa kujitoa kwetu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom