Dawa ya mwanamke wa hivi ni ipi?

Dawa ya mwanamke wa hivi ni ipi?

She's trying to manipulate your mind

Anataka attention yako
ili kukutengenezea addictiction kwake
In the longrun ukishakolea vzur penzini anauhakika ataweza kukucontrol vizur akupelekeshe anavotaka.

Na ana uhakika hutachomoka maana tayr na Wewe ushaizoea Hali hiyo na itakua ishaingia kwny damu yako.
(Always thinking about her)

Hapo nae ndo ataanza kutest mitambo yake Mf:usku hapatkan, Yuko online ila hajibu text zako, Kuna MDA anakublock, Kuna MDA anatumika Sana n.k
Hii yote Ni kujaribu kufufua mapepo yako ya wivu yakoje na Kama penz limekukolea au lah!

Akifanikiwa kupandikiza pepo la wivu kwako, Basi atashika rimoti na utaanza kua mtumwa wake maana ukijichetua atajinunisha Kisha ukiomba msahamaha atakupa condition zake ili usamehewe.


Ukithubutu kuingia kwny huo mtego.
Basi jua umekwisha. Nakuapia Utakosa Uhuru binafsi, atakumiliki Kama toy lake, atakupigia MDA wa kulala,wa kumpigia Simu, wa Kwenda kwake,

Atakupangia marafiki wa kua nao,ndugu wa kuongea nao, pesa zake za kutumia.
Na mapenz yatakutesa sana na hakuna rangi utaacha kuona mkuu.

Nikwambie TU,
WANAWAKE SIKU ZOTE WAKO SMART SANA WANAPOTAKA KUKUMANIPULATE NA HUANZIA MBALI TENA KWA VITU VIDG VIDG ILI UZOEE UWE ADDICTED[emoji4]
 
She's trying to manipulate your mind

Anataka attention yako
ili kukutengenezea addictiction kwake
In the longrun ukishakolea vzur penzini anauhakika ataweza kukucontrol vizur akupelekeshe anavotaka.

Na ana uhakika hutachomoka maana tayr na Wewe ushaizoea Hali hiyo na itakua ishaingia kwny damu yako.
(Always thinking about her)

Hapo nae ndo ataanza kutest mitambo yake Mf:usku hapatkan, Yuko online ila hajibu text zako, Kuna MDA anakublock, Kuna MDA anatumika Sana n.k
Hii yote Ni kujaribu kufufua mapepo yako ya wivu yakoje na Kama penz limekukolea au lah!

Akifanikiwa kupandikiza pepo la wivu kwako, Basi atashika rimoti na utaanza kua mtumwa wake maana ukijichetua atajinunisha Kisha ukiomba msahamaha atakupa condition zake ili usamehewe.


Ukithubutu kuingia kwny huo mtego.
Basi jua umekwisha. Nakuapia Utakosa Uhuru binafsi, atakumiliki Kama toy lake, atakupigia MDA wa kulala,wa kumpigia Simu, wa Kwenda kwake,

Atakupangia marafiki wa kua nao,ndugu wa kuongea nao, pesa zake za kutumia.
Na mapenz yatakutesa sana na hakuna rangi utaacha kuona mkuu.

Nikwambie TU,
WANAWAKE SIKU ZOTE WAKO SMART SANA WANAPOTAKA KUKUMANIPULATE NA HUANZIA MBALI TENA KWA VITU VIDG VIDG ILI UZOEE UWE ADDICTED[emoji4]
Naishukuru sana jamiiforum imenijenga nimekua mzuri sana wa kutegua mitego kama hii.

Kitu ambacho nimekua nikijifunza hapa siku zote ni kuwa kamwe usifanye mwanamke ajue umekufa umeoza kwake.

Nimetumia haya masomo vizuri sana ndo maana hajawahi hata siku1 kujua eti nimekufa kwake.
 
Yeah! itabidi iwe hivo maana yeye analalamika kwamba simtafutagi hadi aanze yeye ila mara zote nnazojaribu kumcheki mimi naishia kuwa disappointed

Maana anaweza asipokee simu au asijibu hata ujumbe siku nzima.

So me baada ya kunote hicho nlijiapia kwamba sitowahi kuwa wa kwanza kumtafuta na yeye anaona kama labda anajipendekeza kwangu lakini ameshindwa kutambua je huyu mtu anaponjaribu kuniweka closer narespond vipi?
Hii ndo shida kubwa nimeigundua kwa wanawake
 
Habari wakuu,

Naomba kuuliza dawa ya mwanamke ambae ukiondoa attention yako kwake analalamika kwenye status na kutia huruma sana kana kwamba anaonewa.

Ila mkianza kuwasiliana mfululizo anaanza kukuchukulia poa, ingawa unamkubali sana tu na mpo kwenye mahusiano miaka miwili sasa ila muondoko ni huo huo

Je watu wa aina hii niwakudeal nao vipi.
Tafuta mwingine
 
Dawa ya mwanamke Ni mwanamke mwenzake,,, akianza kuleta nyeusi piga chini Mara moja tafuta mwingine.
 
Habari wakuu,

Naomba kuuliza dawa ya mwanamke ambae ukiondoa attention yako kwake analalamika kwenye status na kutia huruma sana kana kwamba anaonewa.

Ila mkianza kuwasiliana mfululizo anaanza kukuchukulia poa, ingawa unamkubali sana tu na mpo kwenye mahusiano miaka miwili sasa ila muondoko ni huo huo

Je watu wa aina hii niwakudeal nao vipi.
Hakikisha unapokuwa kwenye mahusiano unamuonyesha mwanamke unaweza kuishi bila yeye otherwise itakuja kula kwako siku moja
 
You must have experienced this, it isn't a lie😂
She's trying to manipulate your mind

Anataka attention yako
ili kukutengenezea addictiction kwake
In the longrun ukishakolea vzur penzini anauhakika ataweza kukucontrol vizur akupelekeshe anavotaka.

Na ana uhakika hutachomoka maana tayr na Wewe ushaizoea Hali hiyo na itakua ishaingia kwny damu yako.
(Always thinking about her)

Hapo nae ndo ataanza kutest mitambo yake Mf:usku hapatkan, Yuko online ila hajibu text zako, Kuna MDA anakublock, Kuna MDA anatumika Sana n.k
Hii yote Ni kujaribu kufufua mapepo yako ya wivu yakoje na Kama penz limekukolea au lah!

Akifanikiwa kupandikiza pepo la wivu kwako, Basi atashika rimoti na utaanza kua mtumwa wake maana ukijichetua atajinunisha Kisha ukiomba msahamaha atakupa condition zake ili usamehewe.


Ukithubutu kuingia kwny huo mtego.
Basi jua umekwisha. Nakuapia Utakosa Uhuru binafsi, atakumiliki Kama toy lake, atakupigia MDA wa kulala,wa kumpigia Simu, wa Kwenda kwake,

Atakupangia marafiki wa kua nao,ndugu wa kuongea nao, pesa zake za kutumia.
Na mapenz yatakutesa sana na hakuna rangi utaacha kuona mkuu.

Nikwambie TU,
WANAWAKE SIKU ZOTE WAKO SMART SANA WANAPOTAKA KUKUMANIPULATE NA HUANZIA MBALI TENA KWA VITU VIDG VIDG ILI UZOEE UWE ADDICTED[emoji4]
 
Back
Top Bottom