Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,741
- 3,316
Habari wakuu,
Naomba kuuliza dawa ya mwanamke ambae ukiondoa attention yako kwake analalamika kwenye status na kutia huruma sana kana kwamba anaonewa.
Ila mkianza kuwasiliana mfululizo anaanza kukuchukulia poa, ingawa unamkubali sana tu na mpo kwenye mahusiano miaka miwili sasa ila muondoko ni huo huo
Je watu wa aina hii niwakudeal nao vipi.
Naomba kuuliza dawa ya mwanamke ambae ukiondoa attention yako kwake analalamika kwenye status na kutia huruma sana kana kwamba anaonewa.
Ila mkianza kuwasiliana mfululizo anaanza kukuchukulia poa, ingawa unamkubali sana tu na mpo kwenye mahusiano miaka miwili sasa ila muondoko ni huo huo
Je watu wa aina hii niwakudeal nao vipi.