Dawa ya mwanamke wa hivi ni ipi?

Dawa ya mwanamke wa hivi ni ipi?

Habari wakuu,

Naomba kuuliza dawa ya mwanamke ambae ukiondoa tention yako kwake analalamika kwenye status na kutia huruma sana kana kwamba anaonewa.

Ila mkianza kuwasiliana mfululizo anaanza kukuchukulia poa, ingawa unamkubali sana tu na mpo kwenye mahusiano miaka miwili sasa ila muondoko ni huo huo

Je watu wa aina hii niwakudeal nao vipi.
Tatizo nyinyi vijana hamtaki kuoa. kila siku mnapiga mahesabu ya muendeleo ya uchumba. Ningekushauri uoe mke kihalali ili uweze kufanya maamuzi ya kihalali.
Akianza kucheza michezo ya kitoto baci unampandisha daraja la kuhitwa Mke mkubwa. Atakuelewa kua mwanaume ndie anae oa mwanamke. kuliko mwaume kuolewa na mwanamke....
 
Wanawake bana Kunao wale wengine unawasiliana nao vizur wanakwambia ni wazima Ila baadae wanaweka status WhatsApp kuwa wanaumwa ukiangalia bila kureply chochote ugomvi unaanza, wakat angeweza kukwambia kuwa anaumwa kabla hujaona status siku hizi siangalii status zao
Status ni kwaajili ya Ke pekee, tupo vidume tangu kuumbwa kwa dunia hatujuagi nini maana ya status katika Whatsapp kabisa.
 
Habari wakuu,

Naomba kuuliza dawa ya mwanamke ambae ukiondoa attention yako kwake analalamika kwenye status na kutia huruma sana kana kwamba anaonewa.

Ila mkianza kuwasiliana mfululizo anaanza kukuchukulia poa, ingawa unamkubali sana tu na mpo kwenye mahusiano miaka miwili sasa ila muondoko ni huo huo

Je watu wa aina hii niwakudeal nao vipi.
oa uwe na mke.
 
Yes Sir I can help you how to change her, Just replace her with Well matured one.
Yeah! itabidi iwe hivo maana yeye analalamika kwamba simtafutagi hadi aanze yeye ila mara zote nnazojaribu kumcheki mimi naishia kuwa disappointed

Maana anaweza asipokee simu au asijibu hata ujumbe siku nzima.

So me baada ya kunote hicho nlijiapia kwamba sitowahi kuwa wa kwanza kumtafuta na yeye anaona kama labda anajipendekeza kwangu lakini ameshindwa kutambua je huyu mtu anaponjaribu kuniweka closer narespond vipi?
 
Yeah! itabidi iwe hivo maana yeye analalamika kwamba simtafutagi hadi aanze yeye ila mara zote nnazojaribu kumcheki mimi naishia kuwa disappointed

Maana anaweza asipokee simu au asijibu hata ujumbe siku nzima.

So me baada ya kunote hicho nlijiapia kwamba sitowahi kuwa wa kwanza kumtafuta na yeye anaona kama labda anajipendekeza kwangu lakini ameshindwa kutambua je huyu mtu anaponjaribu kuniweka closer narespond vipi?
Man Up. Yeye sio mwanamke pekee ake
 
Yeah! itabidi iwe hivo maana yeye analalamika kwamba simtafutagi hadi aanze yeye ila mara zote nnazojaribu kumcheki mimi naishia kuwa disappointed

Maana anaweza asipokee simu au asijibu hata ujumbe siku nzima.

So me baada ya kunote hicho nlijiapia kwamba sitowahi kuwa wa kwanza kumtafuta na yeye anaona kama labda anajipendekeza kwangu lakini ameshindwa kutambua je huyu mtu anaponjaribu kuniweka closer narespond vipi?

Dahh!huyu kuna stage aliruka katika ukuaji wake, mtu mzima hakuna kitu… Anza process ya kutafuta mwingine na safari hii zingatia kama kichwani zinacharge.
 
Habari wakuu,

Naomba kuuliza dawa ya mwanamke ambae ukiondoa attention yako kwake analalamika kwenye status na kutia huruma sana kana kwamba anaonewa.

Ila mkianza kuwasiliana mfululizo anaanza kukuchukulia poa, ingawa unamkubali sana tu na mpo kwenye mahusiano miaka miwili sasa ila muondoko ni huo huo

Je watu wa aina hii niwakudeal nao vipi.
Mkuu hao viumbe mwachie alieviumba tu! Wapo kama VIRUSES mna mwingine ni LIVING ORGANISM na mda mwingine ni NON_LIVING ORGANISM! dawa nilio watengenezea " nikiwa na mwanamke hua namchukulia kama mtoto wangu wa kwanza " ila ukimchukulia kama mkeo au mtumzima mwenzio huto waelewa milele hata awe ametumwa kutoka mbinguni ukiwa unaona kwa macho[emoji850]
0de9881e986d38dff619bf132f1ef429.jpg
93efa01c7f22833c0e221d624e7065dd.jpg
827772bb9ec297f47481e5bbec9c6880.jpg
 
Back
Top Bottom