Baada ya kuishi katika ndoa ndo nimejifunza kuwa ndoa ni sawa na mashindano ya mpira kila team inapambana ili ichukuwe point 3
Mume na mke kila mmoja anapambana ili atawale mwenzake japo kuwa watu usema kuwa mke na mtii mume wake ukiingia katika ndoa inawezekana utii uo ukauona miezi miwili mpaka miaka miwili ya ndoa yako baada ya hapo ni vita juu ya vita kila mmoja anataka kutawala mwenzake
Na hapa ndipo unatakiwa kuonyesha udume wako sasa kuwa wewe ni mwanaume unatakiwa uheshimiwe
Na njia ya kuonyesha udume wako onyesha kuwa uko tayari kumuacha
Kununa , kufoka hakuwezi kumtuliza mwanamke jeuri
Kumchukulia mke wa pili hakuwezi kumtuliza mwanamke akianza jeuri yake kuna uwezekano yeye akakuletea mtoto ambaye sio wako katika ndoa
DAWA YA MWANAMKE AKIANZA JEURI
Muonyesha kuwa uko tayari kuachana naye Any time tu basi ndo dawa iyo muache aende ili akapate atakaye muheshimia kuliko wewe
Mume na mke kila mmoja anapambana ili atawale mwenzake japo kuwa watu usema kuwa mke na mtii mume wake ukiingia katika ndoa inawezekana utii uo ukauona miezi miwili mpaka miaka miwili ya ndoa yako baada ya hapo ni vita juu ya vita kila mmoja anataka kutawala mwenzake
Na hapa ndipo unatakiwa kuonyesha udume wako sasa kuwa wewe ni mwanaume unatakiwa uheshimiwe
Na njia ya kuonyesha udume wako onyesha kuwa uko tayari kumuacha
Kununa , kufoka hakuwezi kumtuliza mwanamke jeuri
Kumchukulia mke wa pili hakuwezi kumtuliza mwanamke akianza jeuri yake kuna uwezekano yeye akakuletea mtoto ambaye sio wako katika ndoa
DAWA YA MWANAMKE AKIANZA JEURI
Muonyesha kuwa uko tayari kuachana naye Any time tu basi ndo dawa iyo muache aende ili akapate atakaye muheshimia kuliko wewe