MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Aksante sana kwa habari hii ila mh mbona kama hizi principle zitanifanya nionekane kama sijiamini? Kama hiyo ya red hapo juu, kwa nini niamini kuwa iko siku ataniacha/tutaachana?? si kumwonyesha kuwa sina confidence kama mimi ndie chaguo lake halisi? Cha muhimu ni kuwa firm kwenye maamuzi yako, mfano akikubore kumweleza kinagaubaga na hata akisema mnaachana mwonyeshe kuwa unakubaliana naye kwani its the best decision kwani hata wewe ulishaona hakufai!Alekhum waungwana ! dawa nayoileta kwenu ni hii si ya kienyeji ni ya kucheza na principles of love flow.ni hali ya kuhuzunisha unapoishi na mpenzi amabaye unajua kuna siku atakuacha aidha uhusiano wenu unabebwa na sababu kama pesa ,shule e.t.c mfanyie haya
-zungumza naye mambo ya future ya iwapo mtaacha na mfano unaweza mpa zawadi halafu unamwambia nimeona nkununulie ili iwapo kwa
bahati mbaya tukaja achana uwe na cha kuni kumbukia ,au ukasema iwapo siku tukiachana niahidi utakuwa careful na utaemchagua kunilith
- Jenga ukaribu na ndugu ampendae mfanye too close to you kuzidi hata yeye
-unaweza mwambia umeota usiku sura yake inakujia ukiigusa inageuka nyoka , au umemuona bibi yako aliefariki
anasema mwanamke ulienaye ni mwema ila hakupendi .
-kuwa na confidence naye mfano unaweza muuliza kama anaenda club halafu unamwita rafiki unaemwamini aende naye na usimpigie simu whole
night msimuulizie kabisaaa .
-hakikisha unakuwa na vitu atavyokukumbuka mda wote mfano simu uwe umenunua wewe ,cheni pete na hususan leso .
-Akikufanyia kosa kubwa ambalo ugundue linamuuma (guilt) jifanye kuchukuli poa kabisaa ,akikuuliza kwanini mwambie ntakwambia baada ya wiki hata akomae ,halafu mwambie nilikasirika nikawaza nauhakika gani unanipenda kiasi nachokupenda mimi nikawaza tutapo achana ntakuwa sina maamuz nawe tena pia uskute huu uhusiano si unanipenda bali unanihurumia ,
hii ni part ya kitabu changu ukurasa wa 13 kiitwacho "USHINDI KWENYE MAPENZIi" kimetumia psychological and successful experiences .