Dawa ya mpenzi asiyekupenda hii

Alekhum waungwana ! dawa nayoileta kwenu ni hii si ya kienyeji ni ya kucheza na principles of love flow.ni hali ya kuhuzunisha unapoishi na mpenzi amabaye unajua kuna siku atakuacha aidha uhusiano wenu unabebwa na sababu kama pesa ,shule e.t.c mfanyie haya
-zungumza naye mambo ya future ya iwapo mtaacha na mfano unaweza mpa zawadi halafu unamwambia nimeona nkununulie ili iwapo kwa
bahati mbaya tukaja achana uwe na cha kuni kumbukia ,au ukasema iwapo siku tukiachana niahidi utakuwa careful na utaemchagua kunilith
- Jenga ukaribu na ndugu ampendae mfanye too close to you kuzidi hata yeye
-unaweza mwambia umeota usiku sura yake inakujia ukiigusa inageuka nyoka , au umemuona bibi yako aliefariki
anasema mwanamke ulienaye ni mwema ila hakupendi .
-kuwa na confidence naye mfano unaweza muuliza kama anaenda club halafu unamwita rafiki unaemwamini aende naye na usimpigie simu whole
night msimuulizie kabisaaa .
-hakikisha unakuwa na vitu atavyokukumbuka mda wote mfano simu uwe umenunua wewe ,cheni pete na hususan leso .
-Akikufanyia kosa kubwa ambalo ugundue linamuuma (guilt) jifanye kuchukuli poa kabisaa ,akikuuliza kwanini mwambie ntakwambia baada ya wiki hata akomae ,halafu mwambie nilikasirika nikawaza nauhakika gani unanipenda kiasi nachokupenda mimi nikawaza tutapo achana ntakuwa sina maamuz nawe tena pia uskute huu uhusiano si unanipenda bali unanihurumia ,

hii ni part ya kitabu changu ukurasa wa 13 kiitwacho "USHINDI KWENYE MAPENZIi" kimetumia psychological and successful experiences .
Aksante sana kwa habari hii ila mh mbona kama hizi principle zitanifanya nionekane kama sijiamini? Kama hiyo ya red hapo juu, kwa nini niamini kuwa iko siku ataniacha/tutaachana?? si kumwonyesha kuwa sina confidence kama mimi ndie chaguo lake halisi? Cha muhimu ni kuwa firm kwenye maamuzi yako, mfano akikubore kumweleza kinagaubaga na hata akisema mnaachana mwonyeshe kuwa unakubaliana naye kwani its the best decision kwani hata wewe ulishaona hakufai!
 
one thing
kama uko so frustrated na your love life ni bora ukakaa mbali na pc lol
 
kumbe ndo maana juzi nikaambiwa ameota nageuka nyoka kila anapotaka kubusu!.bila shaka alikua kasoma kitabu chako.
yaani ashindwe na alegee atetemeke aanguke chini.mia
 
Wewe The only umeyaona wapi hayo? Kama hakupendi ndiyo imekuwa bahati mbaya imekula kwako lakini kujipendekeza na kujidhalilisha ndiyo unazidi kumchefua.

Bora kama unaona hakuna upendo ufunge virago uende zako pole pole kwani Mungu si Athumani atakupatia anaekupenda.
 
Hahahahaaaaaa ndoto za marehemu bibi tena,hii inastahili kuwa joke of the day tehe tehe tehe.
 
Duh hii tumefanya kitambo bado tukatoswa mkuu mapenzi hayana theory vipi isipofanya kazi kuna alternative???????/
 
Kichwa cha habari nacho utata, asiyekupenda anakuwaje mpenzi???? Kinyume cha kupenda ni.....! Ova!
 
Nini cheni na simu bana watu wamenunua magari,nyumba,kumuanzishia biashara na bado wameachwa,tukikwambia ukweli umeanza 'from a position of weakness' tayari umeshafeli 70 %.
Unahitaji ushauri wa kisaikojojia sio kuutoa.
 
hakupendi halafu bado uzidi kuingia hasara eti ununue cheni sijui simu, eehh!!!
haiji hiyo. anapotezewa tu.
 
dawa ya mpenzi asiekupenda ni kuachana nae tu, yaani mtu unajua kabisa hakupendi then unaendelea nae eti dawa hamna dawa bwana acha kudanganya watu hicho kitabu chako ni uzushi .watu wanaishi kwa experience sio theory. tena hicho kitabu kiite kushindwa kwenye mapenzi .mia

Bebii hapo umenena, kuendelea kuwa nae mtu asiyekupenda ni kama kumbania mwenzio akose kuishi na ampendaye. Mwishowe aje akufanyie jambo ambalo utakuja usilisahau maishani mwako na pengine kupoteza miahsa au kuishia gerezani bure.
 
Dawa ya mpenzi asiyekupenda ni BANGI teh! teh! Atakuogopa hatafanya ushenzi, atakuwa makini sana!
 
Back
Top Bottom