Dawa ya moto ni moto

Dawa ya moto ni moto

Mshuka1

Member
Joined
Sep 2, 2013
Posts
5
Reaction score
2
Mtu na Mkewe wanagombana chumbani,ghafla ugomvi unakuwa mkubwa na mke anaamua kukusanya
vitu vyake kwa lengo la kuondoka,Mume anashangaa- anamuuliza,Unakusanya vitu unaenda wapi? Mke kwa nyodo
anajibu Nakwenda kwa Mama yangu.Mume naye akaanza kukusanya nguo zake na kuweka kwenye mabegi yake, mke
kwa jeuri akamuuliza mume wake,Unapaki unakwenda wapi? Mume akajibu kwa tabasamu, na mimi nakwenda kwa Mama yangu,Mke akauliza tena "Hawa watoto wako watabaki na nani? Mume kwa kujiamini akajibu nao waende kwa mama yao kama sisi tunavyokwenda kwa mama zetu.Je nani inakula kwake hapo......??????
 
Nani kama mama ndo maana hata wao wanataka kwenda kwa mama so wabaki na mama

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
huu ugomvi ulikua wa kijinga sana ila mwisho wake wote wanakuwa ...............
 
Back
Top Bottom