Dawa ya michepuko au nyumba ndogo hii hapa

Dawa ya michepuko au nyumba ndogo hii hapa

Namimi baada ya kuisoma vizuri mada naunga mkono hoja..
 
mimi sio mdau wa michepuko..! lakini pia sina tatizo na wachepukao wana sababu zao, tusiwalaumu tusiwahukumu

Mtani ile shughuli ya manzese iliisha je


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Zamani babu na bibi zetu walikua wanachepuka! Na ndiyo sababu kulikua na misemo kitanda hakizai haramu!
Tatizo kizazi cha sasa jinsia moja ndiyo inataka kujibinafsisha haki ya kuchepuka!
Mi nakubaliana na hoja tuchepuke wote ndiyo suluhisho baba njia hii mama njia ile halafu baadaye wanakutana main road!
 
Wadau JF salam,
Kimekuwa kilio cha wanadaoa wengi sana kwenye familia zao juu ya ujio wa michepuko au nyumba ndogo.. na niongeze kwa kusema imekuwa kama kamtindo fulani sasa kwa wanandoa..

Naomba niwarudishe kidogo kwenye asili ya mtu mwesi, kwa haraka nikifuatilia naona asili yetu kabla ya ujio wa wazungu au wakoloni na sera zao za mke mmoja kwa kila familia, babu zetu walikuwa na wake zaidi ya mmoja, hapa nisimung'unye maneno, yaani walikuwa na wake wengi sana..

Na kama msomaji wa mada hii, haukubaliani na nami hebu jiulize tafadhari, kwenye familia yako kama unafatilia histoa ya ukoo wako utagundua BABU YAKO WA BABU YAKO ALIKUWA NA MKE ZAIDI YA MMOJA,Maana yake wake wengi.

Sasa wadau mkubaliane na mimi kama tunaamini kuwa kuna magonjwa ya kurithi kwenye koo kwanini kusiwe na kurithi hizi tabia za MABABU ZETU WA KIAFRIKA ZA KUWA NA WAKE WENGI,,

Ninacho amini mimi nikuwa,tatizo la michepuo au nyumba ndogo lililo ingia sasa ni issue ya kurithi, ijapo kuwa tumeucha utamanduni wetu na kufuata wa kishenzi, namanisha wa kizungu wa kuwa na mke mmoja..

Lakini lengo la mzungu lilikuwa kupunguza idadi ya sisi kuzaliana wakati tu tegemezi..

Mtazamo wangu, inabidi mabinti walikalie kikao kulijadili kwa kina na haswa kwenye makicheni part, kuliko kuacha hali ilivyo sasa,na ufumbuzi wao waulete hapa JF na sisi wababa tutauchangia..

Karibuni sana wadau..!!

kuna makabila yalikuwa na utamaduni wa kula nyama za watu vile vile hapo vipi.....nyama ya mtu haiwezi kuwa tiba ya nguvu za kiume, kisukari etc.?🙂
 
Very true

Qur-an ilisha turahisishia mambo,sisi ndo tunaojitia ujeuri kwa kufuata mambo ya kupangiwa na binadam wenzetu.kwanza tukumbuke wanawake ni wengi kuliko wanaume,sasa ikiwa kila mwanaume ataoa mke 1 hao wanawake anaobaki waende wap?haja zao atazitatua nani km co kusumbua ndoa za wenzao?
 
sa ukishajua hayo c uoe kwa idadi uitakayo.asiyetaka mke mwenza piga chini.
 
Dawa ya hapo ni wanawake wajue mwanaume hachepuki na wala hana nyumba ndogo, anafanya alichorithishwa na babu zake.

Ijapo hoja ya mwanamke kuchepuka, hii hapana maana wanatakuwa wamerithi wapi?

Ukiangalia wamama wa zamani hawakuwa na historia ya kuchepuka..na ukiona mwanamke anachepuka huyoo atakuwa anafanya kosa..
 
Bila michepuko tutakufa na presha,bora hata ndoa zisingekuwepo,unagonga then unasonga mbele
 
Umeangalia upande mmoja kwa wanaume tu. Je wanawake kuepuka michepuko waolewe na waume zaidi ya mmoja?
 
Dawa ya hapo ni wanawake wajue mwanaume hachepuki na wala hana nyumba ndogo, anafanya alichorithishwa na babu zake.

Ijapo hoja ya mwanamke kuchepuka, hii hapana maana wanatakuwa wamerithi wapi?

Ukiangalia wamama wa zamani hawakuwa na historia ya kuchepuka..na ukiona mwanamke anachepuka huyoo atakuwa anafanya kosa..

Historia ya wamama kuchepuka ilikuwepo na kuzaa watoto kabisa wasio wa mume husika! Kesi ikienda kwa wazee majibu ni kuwa kitanda hakizai haramu! Hii nayo ni urithi mzuri kwa jinsia ya ke!
Tuache ubinafsi kuchepuka ni raha sana mradi usikamatwe!
 
Mmmmmmm hiiii mimi sijawahi kuisikia kuwa mwanamke naye zamani alikuwa na waume zaidi ya mmoja, mm najua alikuwa mwanamke akifanya hivyo alipigwa na mawe akauwawa..na mwanaume mwenye wake wingi aliishi, wadau vipi, hatusomi hata maandiko..Ibrahimu anaambiwa na mkewe atembee na mjakazi ili apatikane mrihi, mbona mke wa Ibrahimu hakufanya hivyo yy..

Mimi nasema hivi katika makomando wa kike mke wa Ibrahimu namba 1
 
Mmmmmmm hiiii mimi sijawahi kuisikia kuwa mwanamke naye zamani alikuwa na waume zaidi ya mmoja, mm najua alikuwa mwanamke akifanya hivyo alipigwa na mawe akauwawa..na mwanaume mwenye wake wingi aliishi, wadau vipi, hatusomi hata maandiko..Ibrahimu anaambiwa na mkewe atembee na mjakazi ili apatikane mrihi, mbona mke wa Ibrahimu hakufanya hivyo yy..

Mimi nasema hivi katika makomando wa kike mke wa Ibrahimu namba 1

Hujawahi kusikia kwa sababu hutaki kusikia! Sasa mi nilyewahi kusikia nakuhabarisha! Habari ndiyo hiyo!
Labda uarabuni ndo wanapiga watu mawe na siongelei jamii hiyo , mi naongelea jamii yangu ya kiafrika!
 
Jamii ipi hiyo ndugu yangu, au kabila gani hiyo ambayo mwanamke anakuwa na wanaume kumi na jamii inamwangalia..

Kuna mmoja alikuwa anamiliki wanaume wawili mwaka jana maeneo ya Kimara, lakini si ulisikia vyombo vya habari na jamii ilivyotaharuki..wadau au mimi natoa kichwani mambo haya na sina ushahidi,
Ila nakumbia ndugu yangu ww nishahidi wa BABU YAKO KAMA ULIFUATILIA HISTORIA YA UKOO WENU JUU YA WAKE WENGI KWA MZEE WA BOMA. Cyan6
 
Last edited by a moderator:
Bora upite kiongozi maana kuna mdau hapa anataka kutujuza mambo mapya atii wanawake nao walikuwa na waume wengi zamani, sijui kabila gani huyu mdau..
 
anza ku aply kwanza wewe na wife.... alafu utatupa feedback.
 
Back
Top Bottom