Dawa ya mchepukaji hii hapa

Dawa ya mchepukaji hii hapa

Asante mpendwa hata mimi niliwamiss pia sisi wote ni ndugu atii
kwa niaba ya waliokumis kama mimi natoa shukurani za dhati kwa kurejea ulingoni salama,especially kwenye jukwaa hili la mmu
 
hii range rover revere sijawah kuiskia asee,,ni toleo ya mwaka 2016 nn

ni kali kinyama asee!!!

Nafikiri ni Range rover Sport hiyo mkuu, ikiwa supplied na supplier wao mkubwa RevereLondon.
 
Hayo huko huko ulaya, kibongo bongo angeambulia kipondo mpaka maji kuita mma, na hapo wala hata isingekuwa range hata kistarlet tu angekichafua mbona angecheza chura bila kupenda.
 
Picha za gari lililokuwa na ujumbe wa kukasirisha uliochorowa katika gari hilo zimesambazwa mara elfu katika mtandao wa Twitter.

Gari hilo jeupe aina ya Range Rover Revere lenye bei ya pauni 75,000 lilionekana limeegeshwa karibu na Harrods magharibi mwa London na kuchorwa ujumbe wa kukasirisha kwa kile kilichoonekana kuwa mpenzi aliyedanganywa.

Gari hilo liliandikwa 'cheater' { mwongo} katika pande zote mbili za gari huku maneno ''Natamani angekuwa na thamani'' yakiandikwa katika madirisha ya gari hilo.
mapenzi.jpg
 
rubii. Ha ha...I hear u. Huyu kiumbe simshangai hata kidogo, tunatofautiana. We are unique.But obviously ana very poor coping strategy
 
We ungefanyaje...



Ningemalizana nae kwa kumwambia navyosikia baada ya usaliti alionitenda na kulia mpaka nilale nikiamka naamka na Hari mpyaa.... sasa kuchora magari nijichoreshe kisa nini?
 
Huyo naye lofa!
Sasa kuchafua gari kumemsaidia nini?
Rubii huyu jamaa siyo lofa kama unavyofikiria kwa sababu hana hela ya mawazo. Halafu hiyo gari siyo ya mkopo kama zilivyo za Wabongo wengi. Huyu jamaa amechora gari yake kwa sababu anazo nyingi na hiyo aliyoichora anaenda kuitupa kwenye jalala.
 
sijaelewa,,, hayo ni maajabu, matukio, mtazamo, ushuhuda, maoni, au nini????????
 
Rubii huyu jamaa siyo lofa kama unavyofikiria kwa sababu hana hela ya mawazo. Halafu hiyo gari siyo ya mkopo kama zilivyo za Wabongo wengi. Huyu jamaa amechora gari yake kwa sababu anazo nyingi na hiyo aliyoichora anaenda kuitupa kwenye jalala.


Kachora au kacholewa?
 
160505150553_carklo2.jpg

Picha za gari lililokuwa na ujumbe wa kukasirisha uliochorowa katika gari hilo zimesambazwa mara elfu katika mtandao wa Twitter.
Gari hilo jeupe aina ya Range Rover Revere lenye bei ya pauni 75,000 lilionekana limeegeshwa karibu na Harrods magharibi mwa London na kuchorwa ujumbe wa kukasirisha kwa kile kilichoonekana kuwa mpenzi aliyedanganywa.

Gari hilo liliandikwa 'cheater' { mwongo} katika pande zote mbili za gari huku maneno ''Natamani angekuwa na thamani'' yakiandikwa katika madirisha ya gari hilo
160505150536_carklo4.jpg

Klo ambaye alipiga picha za gari hilo alisema kuwa alimuona mwanamke mmoja akilichora gari hilo,alikuwa kama aliye na wazimu.

'Hakuna mtu aliyejaribu kumzuia.Baadaye aliondoka.Maneno ''Its Over'' pia yaliandikwa kwenye gari hilo ikielezea kuisha kwa uhusiano wowote''.
 
Back
Top Bottom