Miraji, Shaaban kisha Ramadhan
Gari imechorwa, hajaichora mwenye nayo!Rubii huyu jamaa siyo lofa kama unavyofikiria kwa sababu hana hela ya mawazo. Halafu hiyo gari siyo ya mkopo kama zilivyo za Wabongo wengi. Huyu jamaa amechora gari yake kwa sababu anazo nyingi na hiyo aliyoichora anaenda kuitupa kwenye jalala.
Una akili sana.Ningemalizana nae kwa kumwambia navyosikia baada ya usaliti alionitenda na kulia mpaka nilale nikiamka naamka na Hari mpyaa.... sasa kuchora magari nijichoreshe kisa nini?
LOADING....................................Miraji, Shaaban kisha Ramadhan