SINGLE RASHID
Member
- Nov 8, 2012
- 71
- 15
Hi kwa wooote...
Ndugu zangu msinichose wala nisiwachose kwa maneno mengiii maana mficha uchi azai na mficha ugonjwa maradhi yatamuumbua....Naomba kujua wapi ntapata dawa ya mapenzi ya kienyezi nataka nianze mapenzi sasa rasmi....Nile vichwa kimoja baada ya kingine kwa maneno machache tuu na kushika mkono tuu...wapi mganga wa kweli jaman
Ndugu zangu msinichose wala nisiwachose kwa maneno mengiii maana mficha uchi azai na mficha ugonjwa maradhi yatamuumbua....Naomba kujua wapi ntapata dawa ya mapenzi ya kienyezi nataka nianze mapenzi sasa rasmi....Nile vichwa kimoja baada ya kingine kwa maneno machache tuu na kushika mkono tuu...wapi mganga wa kweli jaman