Dawa ya Mafua

second9

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2016
Posts
294
Reaction score
628
Wakuu,
Kuna dawa nilitumia mafua yakakata ndani ya masaa kadhaa tu japo pua ilikuwa kama inaungua. Niliuziwa Mbeya mtu alikuwa anapita nazo tu hotelini.

Hii dawa naitafuta tena kwa yeyote anajua inapopatikana kwa Dar.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…