mmzalendo
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 165
- 1
dawa ya mafisadi ni kuchukua sheria mkononi kama tunavyofanya kwa vibaka , tukiwaona mtaani tu tunawagawana kama wanavyodawana mali zetu watahacha tu hakuna mtu hasiye ogopa kifo kuliko kumsubilia huyu mkwere na mahakama zake waoga hao kwanza wote ni team member na wapo hapo kutetea maslahi ya mafisadi wenzao utafungaji kibaka harafu bazir unampigia kampeni