Dawa ya Lowassa yapatikana

Dawa ya Lowassa yapatikana

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Hatimaye chama tawala,CCM,kimepata dawa ya kumdhibiti mgombea wa Urais kupitia CHADEMA/UKAWA,Ndugu Edward Ngoyai Lowassa. Dawa husika inatengenezwa na wapambanaji wa ufisadi hapa nchini ambao wameapa kumuanika Lowassa ili watanzania wamjue. Tayari mikakati ya mtu-kati imesukwa.

Katika timu hiyo, itakayoshiriki bega kwa bega katika kampeni za kumnadi Magufuli,wanatajwa Sitta,Mwakyembe,Ole Sendeka,Mwigulu Nchemba,Lusinde aka Kibajaji na Nape Nnauye. Pia wapo wanaKitengo.

Upepo wa Lowassa umeonekana kuvuma kwa kasi ukisomba na kupeperusha watu na vitu. Tishio linakaribia mwisho zitakapoanza kampeni. CCM iko vizuri,itamdhibiti hadi awe mahututi kisiasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa, tumeshona dalili maana tokea jana kuna vijibarua vimeanza kuzuka mitandaoni ya kumuhisisha mgombea pendwa na watu, hata Pasco anajua hili.

Haya yetu macho na masikio...
 
Last edited by a moderator:
ukweli wa ccm leo utakuwa uwongo wenye kunuka mbele ya wa TANZANIA !!
LOWASSA NI MTU MTAKATIFU NDANI YA NAFSI ZA WATANZANIA 80% WATAKACHO ONGEA CCM MDA HUU NI SAWA NA MFA MAJI HAACHI KUTAPATAPA!!
 
hiyo itakuwa powa sana na kama itafanyika hivyo basi ni nzuri sana kwa munufaa ya watanzania wote na kwataifa. hakika ile siri na sintofaham ya mda mrefu soon itafahamika maana hakika mashaka yote kuhusu lowasa yataanikwa na vipi yy fisadi itafahamika na lowasa naye najua kamwe hata kaa kimya atajibu mashambulizi sasa hapo ndio patamu yale mambo ya mwaga ugali ni mwage mboga ndio yatakapotokea so suala la RICHMOND litakuwa wazi kabisaaa maana hata bunge lilishindwa kutuwekavwazi nani mhusika mkuu
 
VUTA-NKUVUTE

Watuwekee wazi kwanza waliochikua zile bilions za Escrow za stanbic ambapo kumekuwa na kigugumizi mpaka leo!

Pili wamsaidie magufuli kuelezea matumizi halali ya zile 252b ambazo alidanganya bunge na ukaguzi wa CAG wa january mwaka huu umegundua kuwa matumizi ya kiasi kikubwa cha hiyo hela hayaeleweki.


Tatuwatuelezee vizuri tuhuma za mgombea wao kuuzia nyumba ndugu zake waliokuwa wanafanya kazi tempo wizarani kwake! Na jewatarejeshanyumba za serikali ambazo walijiuzia kwa bei waliojipangia wenyewe! Na wawaeleze watanzania hasara iliyopatikana mpka sasa ya mawaziri kuishi hotelini kwa miaka mingi kisa hamna nyumba! Nasikia kuna waziri amekaa hoteli mpka bill ikafika 100m !

Kimsingi ccm wametosha acha wajaribu na wengine tuone jamani!
 
Last edited by a moderator:
NDANI YA CCM YENU,NDANI YA NAFSI ZA WANA CCM 80% WANAMSAPOTI LOWASSA !
KAZI KWELI KWELI
MWIBA KWA NJE
MWIBA KWA NDANI
KURA YA MTU IPO NAFSINI!
SIPATI PICHA EXACTLY
**
WANA UKAWA NGUVU NA JUHUDI KUBWA KABISA ZIWEKWE JIMBONI MWA NAPE
KIBAJAJI
MWIGULU
NA WALE WOTE VIMBELEMBELE
ii
 
NDANI YA CCM YENU,NDANI YA NAFSI ZA WANA CCM 80% WANAMSAPOTI LOWASSA !
KAZI KWELI KWELI
MWIBA KWA NJE
MWIBA KWA NDANI
KURA YA MTU IPO NAFSINI!
SIPATI PICHA EXACTLY
**
WANA UKAWA NGUVU NA JUHUDI KUBWA KABISA ZIWEKWE JIMBONI MWA NAPE
KIBAJAJI
MWIGULU
NA WALE WOTE VIMBELEMBELE
ii

Huko tayari watu wanafanya kazi. Mkuu UKAWA ni kila mahala.
 
pande hiyo akina nape mropokaji na nchemba na sitta pande hii watu mahiri akina tundu antipasi, john john professa safari jussa ismail kwa hiyo ninyi semeni uongo na uzushi sisi tunakuja kupangua uongo wenu na uzushi wenu kwa hoja na data zilizokamilika. ifikapo oktoba 25 mtajua kama yenu ni dawa au pipi
VUTA-NKUVUTE
 
Last edited by a moderator:
Hatimaye chama tawala,CCM,kimepata dawa ya kumdhibiti mgombea wa Urais kupitia CHADEMA/UKAWA,Ndugu Edward Ngoyai Lowassa. Dawa husika inatengenezwa na wapambanaji wa ufisadi hapa nchini ambao wameapa kumuanika Lowassa ili watanzania wamjue. Tayari mikakati ya mtu-kati imesukwa.

Katika timu hiyo, itakayoshiriki bega kwa bega katika kampeni za kumnadi Magufuli,wanatajwa Sitta,Mwakyembe,Ole Sendeka,Mwigulu Nchemba,Lusinde aka Kibajaji na Nape Nnauye. Pia wapo wanaKitengo.

Upepo wa Lowassa umeonekana kuvuma kwa kasi ukisomba na kupeperusha watu na vitu. Tishio linakaribia mwisho zitakapoanza kampeni. CCM iko vizuri,itamdhibiti hadi awe mahututi kisiasa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Mzee CCM ishakutupa tupa sasa ni kizungu zungu unapata. Subiri kimbunga ubebwe sasa. Unapo piga kampeni kwa mama yako ili umfukuze baba yako nyumbani unadhani ni kitu rahisi. CCM hawana kitu cha kusema Mbele ya Lowassa. Hilo weka akilini mwako.
 
mnaacha kutafuta dawa ya umaskini wa watanzania mnatafuta dawa ya kumzuia lowasa. hakika nipo kwenye mipango ya kuhama nchi nikaishi somalia
 
Back
Top Bottom