Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,584
- 17,528
Tafadhali anayejua dawa nzuri ya kuua hawa wadudu anisaidie. Wapo wengi juu ya siringbodi. Usiku wanawika
Wanawika usiku.Huyo ni mjusi kafiri achana naye atakusaidia kula wadudu wenye madhara kwako akiwemo mbu.Ila umesema kuwika umekosea au ulimaanisha kuwaka?
🪣🪣🪣🪣🪣🪣🪣Mijusi uliyoyaamua kuifuga mwenyewe imeanza kukusumbua .Ikifika hatua ya kukupandia kitandani na kukutambalia wakati upo usingizini utujulishe tukupe dawa





Nasikia wana sumu hatari, akidondoka kwenye chakula familia nzima mnakufaAsee ndugu yangu waache hao viumbe watimize ecosystem, unankumbusha geto langu Manzese alikuwepo ndani mmoja kila nkitaka kumuua roho inasita, siku moja nashtuka usiku wa manane namkuta kambana N'ge mkubwa mdomoni kisawasawa na alimla mpaka kammaliza.
Nikawaza ingekuwaje yule N'ge angekuja nlipolala godoro nmetandika chini sina kitanda sina net
Yanapatikana wapi?? Afu nayafanyaje??Nunua Dawa Ya Maji Inaitwa Lava
Fafanua zaidi mkuuHuyu mjusi ni Spiritual.
Hii sijawai sikia, lakini chakula kinafunikwa kufunuliwa ni mda wa kula tu.Nasikia wana sumu hatari, akidondoka kwenye chakula familia nzima mnakufa
OkayHii sijawai sikia, lakini chakula kinafunikwa kufunuliwa ni mda wa kula tu.
Ila kwa experience yangu huyu mdudu aliniokoa dhidi ya mkia wa N'ge lingening'ata lile dude
Nunua dawa ya mbu rungu mpulizieTafadhali anayejua dawa nzuri ya kuua hawa wadudu anisaidie. Wapo wengi juu ya siringbodi. Usiku wanawikaView attachment 2682087
Hebu fafanua mkuuHuyu mjusi ni Spiritual.