Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,557
- 19,107
Hapo ulipo unatajiwa ucheze basket ballYaani. Ntatisha hasa.
Hapo ulipo unatajiwa ucheze basket ballYaani. Ntatisha hasa.
Hahahaaa. Hunipendi Ses na uvivu huu.💃💃💃💃Hapo ulipo unatajiwa ucheze basket ball
Wallahi ungecheza basket wewe leo hii Shadeeya lingekua jina kubwa sana hapa bongo, urefu wako unakubebaHahahaaa. Hunipendi Ses na uvivu huu.💃💃💃💃
Kwani urefu unaanzia futi ngapi Mkuu? Isije kuwa na mie kafupi.
Umewaza kwa sautiSipatii picha dawa zikiisha nguvu...watu watakuwa wanamwagika tuu kama maji afu ndo ushakuwa ngongoti...chaa!!!!
Mm mbna mrefu tunaendana au hujavutiwa na mm jaman?Agata unanicheka
Kila anaenipenda anaishia kifuani..hata kusimama nimsogelee naona aibu.
Hahaha haya nakuja
Hahahah mìguu iwe mirefu ili viatu vikubwa vitoshe. 1Hata sijajua jirani. Naomba niulize jiranikwani nje ya kimo unataka nini kingine kiwe kirefu? Teh teh teh.
Hahahaaaa. Lol.Hahahah mìguu iwe mirefu ili viatu vikubwa vitoshe. 1