Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,671
Hahaha haya nakuja
Me nipo APA usipate tabu njoo tufunge ndoa
Me nipo APA usipate tabu njoo tufunge ndoa
Kwani urefu unaanzia futi ngapi Mkuu? Isije kuwa na mie kafupi.Mbona andunje sasa, mie nina 6.1!!
Hahahaaaa. Lol.ina maana kwenye huu uzi hakuna demu mfupi
Umeona mwaya Me akiwa mfupi ndio changamoto japo kuna wengine wanajivimbishaga hao mpaka ukiwaangalia unabaki kucheka tu.Wahanga Ni wanaume
Yaani mwanaume akiwa mfupi..duh Ni changamoto.
Ila sidhani km Kuna njia ya kuongeza kimo.
N wafupi wakiwa tz ila ndo warefu wakiwa kwao...Acha kutapeli watu wachina ndiyo yenye watu wafupi wangi zaidi kwanini wasipeleke kwao


Inarefusha kila kitu au kimo tuu??? Sisi wafupi bwana dahUmeona mwaya Me akiwa mfupi ndio changamoto japo kuna wengine wanajivimbishaga hao mpaka ukiwaangalia unabaki kucheka tu.
Hata sijajua jirani. Naomba niulize jirani 🙈🙈🙈 kwani nje ya kimo unataka nini kingine kiwe kirefu? Teh teh teh.Inarefusha kila kitu au kimo tuu??? Sisi wafupi bwana dah
Hahahaaa. Pole jirani kwa kuwa kafupi.Inarefusha kila kitu au kimo tuu??? Sisi wafupi bwana dah
Ukiwa mfupi hakuna ujanja, urefu sio kama matako yanaongezwa.

































Ndioina maana kwenye huu uzi hakuna demu mfupi
Kuongezeka zaidi ya hapa nitakua natisha sasa Shadeeya au wasemaje?😀
Je wewe unaamini huo upuuzi basi na wewe utakuwa the sameHabari njema kwa wanaume wafupi
Na wewe uliyecomment the sameJe wewe unaamini huo upuuzi basi na wewe utakuwa the same
Tena wewe apo ndio usithubutu kabisaa maana utampita hata Hashim Thabit😃😃😃Na kweli Ses. 😀😀
Teh tehNa wewe uliyecomment the same
Yaani. Ntatisha hasa.Tena wewe apo ndio usithubutu kabisaa maana utampita hata Hashim Thabit😃😃😃