agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,412
Wanaume wafupi hawajiamini😂😂😂😂
Kwani kuna changamoto gani?
Wanaume wafupi hawajiamini😂😂😂😂
Kwani kuna changamoto gani?
😂😂😂Namshukuru Mungu kafanya njia pasipo na njia😂maana...lol
😂😂😂😂Wanaume wafupi hawajiamini
Kula unenepe utakua mfupiiv ipo ya kupunguza uref??? Najihis mref mno mpaka nikitembea watu wananiangalia mno mpka najihis vibaya!
We acha tuuu....mkitembea road anataka akukumbatie ashike kiuno huku anakufikia hapohapo kiunoni...dah☹️😂😂😂
Ingekuwa balaah..
Mnakutana na changamoto gani kwa wanaume wafupi?
Mkuu naomba unitafutie ya kupunguza urefu..maana nakosa mume
😂😂😂😂😂😂We acha tuuu....mkitembea road anataka akukumbatie ashike kiuno huku anakufikia hapohapo kiunoni...dah☹
Sipatii picha dawa zikiisha nguvu...watu watakuwa wanamwagika tuu kama maji afu ndo ushakuwa ngongoti...chaa!!!!







KibushutiIla wanawake warefu tunachangamoto jomoniii...afu utakuta kuna kibushuti mmoja anakung'ang'aniaaaa kama luba..kifupiiii kama dawa ya mbu ya rungu...basi awe mpole uuuwiii wana gubu kama nyangumi











Anaishia tumboniHahahaaa mbavu zanguu...
Sasa ni pale unapogundua huyo ndo anaekupenda kwa dhati wengine wazugaji..
Wazugaji warefu ila huyo husband material anaishia tumboni..loh!










SanaIla kuwa na mwanaume uliyemzidi kimo inahitaji moyo




Wahanga Ni wanaumeina maana kwenye huu uzi hakuna demu mfupi
Wanawake mkiwa wafupi ni sawa tu et?Wahanga Ni wanaume
Yaani mwanaume akiwa mfupi..duh Ni changamoto.
Ila sidhani km Kuna njia ya kuongeza kimo.
sasa kama una futi 4 utaweza kuendana na mwanaume wa futi 6Anaishia tumboni![]()