Mfumo Wa elimu ndo unaotengeneza vyeti vya kweli au feki!!
mtu anaweza akafanya mtihani Leo akafeli lakini si kwa sababu hana akili kabisa!!huko nyuma kulingana Na idadi za Shule Na idadi ya walimu yawezekana mtu alikuwa anafeli aidha kwa sababu mtu huyu hajafikia marks ambazo zimetakiwa Ili mtu ajiunge Na sekondari !!
tatizo lingine ni hili kwamba mtu akifeli mtihani Wa taifa yawezekana ni vigumu kupata nafasi ya kurudia darasa hilo eg LA saba,form two au form four Na six.sasa mtu Aisha anaamua kurudi nyuma Na kuanza darasa lingine au anaiba Nina LA mtu mwingine ili asonge mbele!!hapa ndipo kwenye matatizo !!mtoto Wa maskini anakata tamaa Mtoto Wa tajiri ananunua cheti au Nina LA mtu anasonga mbele!!
Sasa nizungumzie dawa ya matatizo haya.
1.system ya elimu ibadirike mwanafunza anapokuwa amefeli darasa aruhusiwe kurudia darasa hilo
2.kuwepo Na mtihani Wa siada( supplementary ) ili mwanzafunzi arudie mtihani kama akifaulu mtihani huo asonge mbele!!jambo hili linafanyika hata vyuo vikuu.maana kufeli mtihani Leo haimaanisha kuwa huyu mtu ni kihiyo!!
3.katika darasa lolote endapo mwanafunzi atakuwa amefeli somo mojawapo apewe mtihani waziada akifaulu ndo aende darasa linalofuata
haya nizungumzayo ni ya hakika mfano kuna mtu alifeli LA saba akarudia darasa hilo hilo kwa jina hilo hilo Leo ni daktari bingwa!!
mtu anaweza akafanya mtihani Leo akafeli lakini si kwa sababu hana akili kabisa!!huko nyuma kulingana Na idadi za Shule Na idadi ya walimu yawezekana mtu alikuwa anafeli aidha kwa sababu mtu huyu hajafikia marks ambazo zimetakiwa Ili mtu ajiunge Na sekondari !!
tatizo lingine ni hili kwamba mtu akifeli mtihani Wa taifa yawezekana ni vigumu kupata nafasi ya kurudia darasa hilo eg LA saba,form two au form four Na six.sasa mtu Aisha anaamua kurudi nyuma Na kuanza darasa lingine au anaiba Nina LA mtu mwingine ili asonge mbele!!hapa ndipo kwenye matatizo !!mtoto Wa maskini anakata tamaa Mtoto Wa tajiri ananunua cheti au Nina LA mtu anasonga mbele!!
Sasa nizungumzie dawa ya matatizo haya.
1.system ya elimu ibadirike mwanafunza anapokuwa amefeli darasa aruhusiwe kurudia darasa hilo
2.kuwepo Na mtihani Wa siada( supplementary ) ili mwanzafunzi arudie mtihani kama akifaulu mtihani huo asonge mbele!!jambo hili linafanyika hata vyuo vikuu.maana kufeli mtihani Leo haimaanisha kuwa huyu mtu ni kihiyo!!
3.katika darasa lolote endapo mwanafunzi atakuwa amefeli somo mojawapo apewe mtihani waziada akifaulu ndo aende darasa linalofuata
haya nizungumzayo ni ya hakika mfano kuna mtu alifeli LA saba akarudia darasa hilo hilo kwa jina hilo hilo Leo ni daktari bingwa!!