Dawa ya kuondoa jini mahaba ipi

ivunya

JF-Expert Member
Sep 18, 2015
2,286
2,198
Jaman wana jf ebu tusaidiane dawa ya kuondoa jini mahaba ipi kwa anaye juwa atujuze kama ipo dawa za asili.
 
Jaman wana jf ebu tusaidiane dawa ya kuondoa jini mahaba ipi kwa anaye juwa atujuze kama ipo dawa za asili.
Ktimoto ndio kiboko ya majini wengi wabaya katika mwili wa binadamu ,imemsaidia sana binamu yangu ingawa alikuwa muislam lakini alikuwa hana namna maana baada ya kula hajapata tena shida hiyo na amekuwa mlaji kweli kwa sasa kwa sasa yupo sawa.
 
Jaman wana jf ebu tusaidiane dawa ya kuondoa jini mahaba ipi kwa anaye juwa atujuze kama ipo dawa za asili.
USIJARIBU kwenda kwa mganga wa kienyeji utapata maroho ya ajabu huko na kuongezewa matatizo usiende tafadhari Yesu ni tiba ya tatizo hilo USIWEKE matuamini kwa mwanadamu maana hata hao hawaijui kesho yao
 
Ktimoto ndio kiboko ya majini wengi wabaya katika mwili wa binadamu ,imemsaidia sana binamu yangu ingawa alikuwa muislam lakini alikuwa hana namna maana baada ya kula hajapata tena shida hiyo na amekuwa mlaji kweli kwa sasa kwa sasa yupo sawa.

haswaaa unashushia kitimoto huku ukisoma neno la Mungu aisee hilo jini halirudi tena
 
Back
Top Bottom