Wakuu msinicheke,haraka tafadhari nifanye nini manake hali bado ni mbaya.nimeambiwa ninywe maji mengi,mara supu au niongezee kama chupa mbili.
Mnasemaje
ndio maana niliachaga.
Hakuna raha duniani kama kuweza kuacha pombe. yaani najiweka kwenye nafasi yako nakuonea huruma sana.
Acheni pombe jamani.
hasara za Pombe.
- Matumizi- kwanza beer imepanda bei. ukiwa na elfu tano utapata hardly beer 3. kwa wale walevi kama mimi nilivyokua beer tatu ni kama umechokoza kiu so lazima upige atleast 5. Kipato chako kinaruhusu? Pombe will never allow you to think on that line. Ukitaka kukosana na mnywa pombe anza kumpigia mahesabu jinsi pombe inavyokula hela. kwa mfano. Kila siku unakunywa atlest beer tatu na umeanza kunywa for the last five years. nasema atleast beer 3 coz kuna siku hunywi na kuna siku unakunywa tano and above huku unatoa offer. ju,la hiyo miaka mitano utakua umetumia (1,600x3)x365x5=8,760,000/= minimum expenditure
- Pombe pia inazeesha haraka. ukiangalia sana uso wa mnywaji na asie kunywa halafu wawe rika moja you will see a difference. huyu mlevi ataonekana kama vile amemzidi mwenziye kiumri.
- Wengine wakinywa pombe zinashuka huku chini- you know what I mean
- Unakosa muda wa kufanya issue zako za kimaendeleo.
- unakua mtumwa wa pombe
- hangover asubuhi kazini
- Ajali- nimeona ajali nyingi za ulevi zinatia huruma, Kuna bwana mmoja alikua afisa Ardhi mjini Iringa, siku moja nilimkuta amelewa vibaya anaendesha gari kwa kujiamini sana barabarni alikua anjiona yeye ndio yuko perfect kwa kila analo lifanya. Kumbe alikua anaelekea bar ambayo nilikua naenda mimi pia. nilibahatika kuka naye meza moja nikampa tahadhari za ulevi na kuendesha gari, jamaa aliniambia huwa akilewa ndio anakua stable zaidi barabrani. my God after a month nilisikia aliingia chini ya lori wakati anatoka mafinga usiku huku amelewa, jamaa aliishia pale pale. R.I.P my friend.
- Ugomvi nyumbani.
- The list is Endless.
Ndugu yangu Inawezekana achana na pombe. acha kabisa, wachie madalali, mafisadi wengine wanywe, wewe wa mshahara tu unapotea kaka.
Please kama your only source of income ni mshahara na unakunywa 24/7. unakoenda siko. Try and evaluate yourself again.
Dawa ya moto ni moto. Kama uko kibaruani, kamata sicksheet njoo hapa Fyatanga tuendelee kugida. Dawa ya ming'inio ni kuendelea kuutwika.
Kunywa bia kwa maendeleo ya Taifa!!!
.
Knowledge is knowing that a tomato is a fruit; wisdom is knowing not to put it in a fruit salad. - unknown.
To know something is to be aware of the fact that it is.
Example: You have knowledge of a tomato, which is a fruit.
To be wise is to to be knowledgeable about something and also have the ability to pair that knowledge with proper action, or judgement.
Example: Your wisdom prevents you from putting tomatos in fruit salad.
.
ndio maana niliachaga.
Hakuna raha duniani kama kuweza kuacha pombe. yaani najiweka kwenye nafasi yako nakuonea huruma sana.
Acheni pombe jamani.
hasara za Pombe.
Ndugu yangu Inawezekana achana na pombe. acha kabisa, wachie madalali, mafisadi wengine wanywe, wewe wa mshahara tu unapotea kaka.
- Matumizi- kwanza beer imepanda bei. ukiwa na elfu tano utapata hardly beer 3. kwa wale walevi kama mimi nilivyokua beer tatu ni kama umechokoza kiu so lazima upige atleast 5. Kipato chako kinaruhusu? Pombe will never allow you to think on that line. Ukitaka kukosana na mnywa pombe anza kumpigia mahesabu jinsi pombe inavyokula hela. kwa mfano. Kila siku unakunywa atlest beer tatu na umeanza kunywa for the last five years. nasema atleast beer 3 coz kuna siku hunywi na kuna siku unakunywa tano and above huku unatoa offer. ju,la hiyo miaka mitano utakua umetumia (1,600x3)x365x5=8,760,000/= minimum expenditure
- Pombe pia inazeesha haraka. ukiangalia sana uso wa mnywaji na asie kunywa halafu wawe rika moja you will see a difference. huyu mlevi ataonekana kama vile amemzidi mwenziye kiumri.
- Wengine wakinywa pombe zinashuka huku chini- you know what I mean
- Unakosa muda wa kufanya issue zako za kimaendeleo.
- unakua mtumwa wa pombe
- hangover asubuhi kazini
- Ajali- nimeona ajali nyingi za ulevi zinatia huruma, Kuna bwana mmoja alikua afisa Ardhi mjini Iringa, siku moja nilimkuta amelewa vibaya anaendesha gari kwa kujiamini sana barabarni alikua anjiona yeye ndio yuko perfect kwa kila analo lifanya. Kumbe alikua anaelekea bar ambayo nilikua naenda mimi pia. nilibahatika kuka naye meza moja nikampa tahadhari za ulevi na kuendesha gari, jamaa aliniambia huwa akilewa ndio anakua stable zaidi barabrani. my God after a month nilisikia aliingia chini ya lori wakati anatoka mafinga usiku huku amelewa, jamaa aliishia pale pale. R.I.P my friend.
- Ugomvi nyumbani.
- The list is Endless.
Please kama your only source of income ni mshahara na unakunywa 24/7. unakoenda siko. Try and evaluate yourself again.
Daah.......hongera sana kwa kuacha pombe bro............na Mungu azidi kukusaidia usirudi tena huko.
Wakuu msinicheke,haraka tafadhari nifanye nini manake hali bado ni mbaya.nimeambiwa ninywe maji mengi,mara supu au niongezee kama chupa mbili.
Mnasemaje
Thank you broda
Safi mwali, Mwanzo | maajabu ya majiHangover ni dehydration, we kunywa maji baridi hadi utakapo jiskia vizuri.