nimecheka sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi kwanini walevi wanapenda kula nyama za ajabu ajabu kwa kisingizio eti ni dawa ya hangover? Utaskia wanakula goti la ngombe, masikio, matiti hadi na kengele za ngombe, afu kuna ule utumbo wanaita kitabu. Yaani hata ini hawalitambui tena. Pombe bana.
Zinaitwa nyama za mtumba.Hivi kwanini walevi wanapenda kula nyama za ajabu ajabu kwa kisingizio eti ni dawa ya hangover? Utaskia wanakula goti la ng'ombe na kwato pia, masikio, matiti hadi na kengele za ng'ombe, afu kuna ule utumbo wanaita kitabu. Yaani hata ini hawalitambui tena. Pombe bana.
Jombaa mi naona ni nyama zisizojulikana. Hehe 😀Zinaitwa nyama za mtumba.
Ukiwa hujatupia masanga huwezi kuzila hizo. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi kwanini walevi wanapenda kula nyama za ajabu ajabu kwa kisingizio eti ni dawa ya hangover? Utaskia wanakula goti la ng'ombe na kwato pia, masikio, matiti hadi na kengele za ng'ombe, afu kuna ule utumbo wanaita kitabu. Yaani hata ini hawalitambui tena. Pombe bana.
Hajapata mpishi mzuri ndugukatika masupu yaliyonishinda ni hii aisee inanata mno !mwee !hongera
Kweli kabisa mkuu, mtu anafika nyumbani akiwa chakari anamkabidhi mke wake Formula1 karibia nane hao ni ng'ombe wawili kumbuka! Unaskia 'anza kuwachemsha sasa hivi asubuhi wawe tayari ntawala kwa chumvi usinipikie chai wewe mwanamke!'Ukiwa hujatupia masanga huwezi kuzila hizo. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hv yana upishi ehHajapata mpishi mzuri ndugu
Kuni canter nzima, sufuria ama nyungu ilochakaa, jaza maji kwenye sufuria. Tupa Formula1 kwa moto hadi ziungue toa manyoya kwa kisu. Yatie kwenye maji ndani ya sufuria. Washa moto, yaache yachemke kwa masaa kama matano. Yaani ni kama vile unachinja mnyama upya. Dah binadamu tunakula kila kitu!hv yana upishi eh
Aisee hii no id yako nyingine nn mkuu?sawa bwana misosi
Sasa mkuu id yako yenyewe inakufunga maana sijawahi kusikia mzaramo wa mkoanimwanume wa dar...?[emoji41] [emoji41]
Ule mnato sasa ndio utamu wenyewekatika masupu yaliyonishinda ni hii aisee inanata mno !mwee !hongera
Hahaha, formula oneKweli kabisa mkuu, mtu anafika nyumbani akiwa chakari anamkabidhi mke wake Formula1 karibia nane hao ni ng'ombe wawili kumbuka! Unaskia 'anza kuwachemsha sasa hivi asubuhi wawe tayari ntawala kwa chumvi usinipikie chai wewe mwanamke!'
Hahahahaha.......eti formula1!Kuni canter nzima, sufuria ama nyungu ilochakaa, jaza maji kwenye sufuria. Tupa Formula1 kwa moto hadi ziungue toa manyoya kwa kisu. Yatie kwenye maji ndani ya sufuria. Washa moto, yaache yachemke kwa masaa kama matano. Yaani ni kama vile unachinja mnyama upya. Dah binadamu tunakula kila kitu!
hapana mkuuAisee hii no id yako nyingine nn mkuu?
Kuni canter nzima, sufuria ama nyungu ilochakaa, jaza maji kwenye sufuria. Tupa Formula1 kwa moto hadi ziungue toa manyoya kwa kisu. Yatie kwenye maji ndani ya sufuria. Washa moto, yaache yachemke kwa masaa kama matano. Yaani ni kama vile unachinja mnyama upya. Dah binadamu tunakula kila kitu!
Sawa, dah yaani sijui kitu. Ulikuwa unajitia hamnazo kumbe we ndo fundi mwenyewe? Ujue Mungu anakuona tu.hyo ya kutupia kwa moto ni niia za zaman wenzako wanaya toa kwa maji moto kitu cheupeee !nimeyapika sana enzi za usichana nyumban baba alikua anayapendaa!unaweka kwenye maji moto not kuchoma tena