Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,757
- 21,984
nimecheka sanaHivi kwanini walevi wanapenda kula nyama za ajabu ajabu kwa kisingizio eti ni dawa ya hangover? Utaskia wanakula goti la ngombe, masikio, matiti hadi na kengele za ngombe, afu kuna ule utumbo wanaita kitabu. Yaani hata ini hawalitambui tena. Pombe bana.
