Dawa ya kuondoa chelewa (hangover)

Dawa ya kuondoa chelewa (hangover)

Hivi kwanini walevi wanapenda kula nyama za ajabu ajabu kwa kisingizio eti ni dawa ya hangover? Utaskia wanakula goti la ng'ombe na kwato pia, masikio, matiti hadi na kengele za ng'ombe, afu kuna ule utumbo wanaita kitabu. Yaani hata ini hawalitambui tena. Pombe bana.
Zinaitwa nyama za mtumba.
 
Hivi kwanini walevi wanapenda kula nyama za ajabu ajabu kwa kisingizio eti ni dawa ya hangover? Utaskia wanakula goti la ng'ombe na kwato pia, masikio, matiti hadi na kengele za ng'ombe, afu kuna ule utumbo wanaita kitabu. Yaani hata ini hawalitambui tena. Pombe bana.
Ukiwa hujatupia masanga huwezi kuzila hizo.
 
hv yana upishi eh
Kuni canter nzima, sufuria ama nyungu ilochakaa, jaza maji kwenye sufuria. Tupa Formula1 kwa moto hadi ziungue toa manyoya kwa kisu. Yatie kwenye maji ndani ya sufuria. Washa moto, yaache yachemke kwa masaa kama matano. Yaani ni kama vile unachinja mnyama upya. Dah binadamu tunakula kila kitu!
 
Kweli kabisa mkuu, mtu anafika nyumbani akiwa chakari anamkabidhi mke wake Formula1 karibia nane hao ni ng'ombe wawili kumbuka! Unaskia 'anza kuwachemsha sasa hivi asubuhi wawe tayari ntawala kwa chumvi usinipikie chai wewe mwanamke!'
Hahaha, formula one
 
Hapa napo hatare
88789f350c616b9aa0cfb63b05ee67cb.jpg
 
Kuni canter nzima, sufuria ama nyungu ilochakaa, jaza maji kwenye sufuria. Tupa Formula1 kwa moto hadi ziungue toa manyoya kwa kisu. Yatie kwenye maji ndani ya sufuria. Washa moto, yaache yachemke kwa masaa kama matano. Yaani ni kama vile unachinja mnyama upya. Dah binadamu tunakula kila kitu!
Hahahahaha.......eti formula1!
 
Kuni canter nzima, sufuria ama nyungu ilochakaa, jaza maji kwenye sufuria. Tupa Formula1 kwa moto hadi ziungue toa manyoya kwa kisu. Yatie kwenye maji ndani ya sufuria. Washa moto, yaache yachemke kwa masaa kama matano. Yaani ni kama vile unachinja mnyama upya. Dah binadamu tunakula kila kitu!


hyo ya kutupia kwa moto ni niia za zaman wenzako wanaya toa kwa maji moto kitu cheupeee !nimeyapika sana enzi za usichana nyumban baba alikua anayapendaa!unaweka kwenye maji moto not kuchoma tena
 
hyo ya kutupia kwa moto ni niia za zaman wenzako wanaya toa kwa maji moto kitu cheupeee !nimeyapika sana enzi za usichana nyumban baba alikua anayapendaa!unaweka kwenye maji moto not kuchoma tena
Sawa, dah yaani sijui kitu. Ulikuwa unajitia hamnazo kumbe we ndo fundi mwenyewe? Ujue Mungu anakuona tu.
 
Back
Top Bottom