Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
umeniwahi nilikuwa nataka nimwambie hivyo hivyosawa bwana misosi
umeniwahi nilikuwa nataka nimwambie hivyo hivyosawa bwana misosi
Sawa, dah yaani sijui kitu. Ulikuwa unajitia hamnazo kumbe we ndo fundi mwenyewe? Ujue Mungu anakuona tu.
Nimekuelewa sana. Lakini naona kidogo umeanza kubadilisha gia angani. Uliyapikaje bila hata kuyaonja au hata kuyala kabisa? Ongeza ya ziada basi ninangoja. 😀haha mie nimesema sipend kuyala !kupika tena hapa ndo chimbo
Kwani wewe mlevi??? hii waachie watu wa chupa.katika masupu yaliyonishinda ni hii aisee inanata mno !mwee !hongera
Mpe asante mpishi
Nkajua ni id yako nyingine mkuuumeniwahi nilikuwa nataka nimwambie hivyo hivyo
hapana aiseeNkajua ni id yako nyingine mkuu
sory mkuu kwakuchukua nafasi yakoumeniwahi nilikuwa nataka nimwambie hivyo hivyo
Kwani wewe mlevi??? hii waachie watu wa chupa.
Nimekuelewa sana. Lakini naona kidogo umeanza kubadilisha gia angani. Uliyapikaje bila hata kuyaonja au hata kuyala kabisa? Ongeza ya ziada basi ninangoja. 😀
Nimeelewa sisteh inakuwaga sanasana ni favorite ya walevi. Kuna sehemu Kenya hadi vichwa na Formula1 za Nguruwe wanazifanyia haki. Hadi na utumbo wa nguruwe wanakaanga kwa mafuta yake. Dah.dah !comment yangu ya kwanza nilisema ktika supu zilizonishinda hii ndo ya kwanza !kwahyo automatic nilishawah KULA !sijui umeelewa??
Nimeelewa sisteh inakuwaga sanasana ni favorite ya walevi. Kuna sehemu Kenya hadi vichwa na Formula1 za Nguruwe wanazifanyia haki. Hadi na utumbo wa nguruwe wanakaanga kwa mafuta yake. Dah.
Wengine wanasema yummy! 😀 We unacheza utumbo wa nguruwe unajikaanga kwa mafuta yake kwenye pan moja kubwa ya ajab hadi vipande vya utumbo vina ruka ruka juu kama popcorn hehe.argggghhh
Wengine wanasema yummy! 😀 We unacheza utumbo wa nguruwe unajikaanga kwa mafuta yake kwenye pan moja kubwa ya ajabu hadi unaruka ruka juu kama popcorn hehe.
Tupia angalau hata kapicha, kama bwana misosi anavofanya angalau tudondokwe na mate kwa hamu.mkuu tafadhari nakula sasa hv kisije kurud bure
Tupia angalau hata kapicha, kama bwana misosi anavofanya angalau tudondokwe na mate kwa hamu.
Kitu safi hiyooookatika masupu yaliyonishinda ni hii aisee inanata mno !mwee !hongera
Kitu safi hiyoooo[/QUO
olalaa hahaha salute
katika masupu yaliyonishinda ni hii aisee inanata mno !mwee !hongera
safi sana hiyo mkuu.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
safi sana hiyo mkuu.