Mkuu unatuvunja mbavu.......Kuni canter nzima, sufuria ama nyungu ilochakaa, jaza maji kwenye sufuria. Tupa Formula1 kwa moto hadi ziungue toa manyoya kwa kisu. Yatie kwenye maji ndani ya sufuria. Washa moto, yaache yachemke kwa masaa kama matano. Yaani ni kama vile unachinja mnyama upya. Dah binadamu tunakula kila kitu!
Sasa hapo si yanaanza kuiva kabla ya kutoa hayo manywele!!! Pia msisahau siyo formula 1 tu, kuna mkia pia, taratibu zake ni hizi hizo, mnato kwa kwenda mbele.hyo ya kutupia kwa moto ni niia za zaman wenzako wanaya toa kwa maji moto kitu cheupeee !nimeyapika sana enzi za usichana nyumban baba alikua anayapendaa!unaweka kwenye maji moto not kuchoma tena
Nimeona jicho hapo? Wee jamaa bana.hii niliipiga pale java juz kat,muruaaaa kabsa![]()
Hyo kichwaa aa mbusi asee,hyo ni cholestrol free asee,mi ndo mpango wangu huo asubuh mara nying,nikipiga hyo na chapat 1 ahhh,siku inaanza vzur kabsaNimeona jicho hapo? Wee jamaa bana.
Utamu wake vipi?Wengine wanasema yummy! 😀 We unacheza utumbo wa nguruwe unajikaanga kwa mafuta yake kwenye pan moja kubwa ya ajab hadi vipande vya utumbo vina ruka ruka juu kama popcorn hehe.
Wakivikula unaskia vinatoa sauti kama kripsi, utamu wake usiniulize mimi.Utamu wake vipi?
Asubuhi, huna mzaha wewe, wewe ndo unafaa kuitwa bwana misosi.Hyo kichwaa aa mbusi asee,hyo ni cholestrol free asee,mi ndo mpango wangu huo asubuh mara nying,nikipiga hyo na chapat 1 ahhh,siku inaanza vzur kabsa
Mkuu unakosa raha za dunia! Hivi unaweza kumla Kaa kweli wewe!!!Nimeona jicho hapo? Wee jamaa bana.
Kaa nimemla sasa jicho la kondoo ndo nakosa raha za dunia?Mkuu unakosa raha za dunia! Hivi unaweza kumla Kaa kweli wewe!!!
Yani mkuu Mimi nikisema nizimue tu narudii form ile ileMe nilikua napiga kiroba kimoja kwisha kazi sasa tokea wamevipiga marufuku nakata hangover na glass ya ubanda then naingia site kupiga mzigo
Wema Ni Nusu Ya Ujinga.
DuuuuKula pilipili na ndimu
Me nikipiga supu basi nitatapika sana siku nzima sitaweza kulaYani mkuu Mimi nikisema nizimue tu narudii form ile ile