cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,772
- 73,515
We kibaraka wa Bashite ushindwe,tunataka vyeti sio blah blah!!!
Na wewe kibaraka wa kufata mkumbo wa wenye maslahi yao utajiju, ukitaka jipige vibao juu ya vyeti.
We kibaraka wa Bashite ushindwe,tunataka vyeti sio blah blah!!!
Kwani ukweli huwa una muda maalum wa kujulikana? Ndo imejulikana kwa wakati huo wafanyeje?Wasiseme kwa sababu kuna Vita ya unga? Acha maneno sisi hatutaki watu wasio wa kweli kwenye elimu?Maana hatujui atakuwa mwongo kwenye mangapi maana hata jina lake yasemekana la uongo.vyeti jaman vyeti ukweli utuweke huru.
Hatutaki maneno mengi mwambie aweke vyeti mezani. Hatutaki vilaza hata mkuu aliridhia wale wanafunzi wa UDOM wafukuzwe. Hatutaki double standard vita ya madawa sawa lakini vyeti mezani.
Ina maana amecolapse namna hiyo?Pole zake maana juzi kati alitolewa vyombo nje kwenye nyumba alokua anaishi
nasikia ana madeni hatari sasa hivi.
Makonda anafadhiriwa na nani??
Unaambiwa huyu Bwn kajenga hadi kituo cha polisi.
Huyo Makonda ana magari ya gharama kubwa, maghorofa, sasa mfadhiri ni nani??
Ndo hivyo. Alifunga viatu vya Riz1. Sasa sura yaje halisi inazidi kuonekanaUtajiju ndugu
Eti jukumu alilopewa na Makonda. Jukumu kapewa na Rais. Unasema kamishina kateuliwa na Makonda?
Ujinga wa hali ya PhD
Namsubir ruge/kusaga
Tumia akili wewe Huyo jamaa yenu anayetumia vyeti vya watu hakuna cha maana alichofanya.
Alikuwa analeta maigizo na kutafuta sifa za kijinga.
Wauza madawa hawatafutwi kwa kuwataja majina kwenye vyombo vya habari.
Tumia akili.
Akili zako na yeye hazitofautiani, yaani ni bashite original.
Unajipa kazi ngumu kweli...fahamu kwenye ukweli uongo hujitenga...
Ndiye aliyemteua, mapenzi sometimes ujinga mtupu
Nonsense.
Utaelewa tu, bado muda kidogoSijaelewa unaongelea nini Juu ya Makonda.
Akili niitumie ili iweje?
Kaa na wivu, uvivu na tamaa zako binafsi. Heshimu kiongozi wako binadamu wewe.
Kiongozi anayetumia cheti cha mtu mwingine.
Nataka nikunyooshe maana umepinda.
leta cheti wewe.