Iringa: Mkazi wa Dar akamatwa baada ya kuzidiwa akisafirisha Dawa za Kulevya alizomeza

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,026
1,624
Heroin.jpg

Baadhi ya pipi za heroine zilizotolewa kwa njia ya haja kubwa na mtuhumiwa Mwasema Rashid baada ya kuwaambia ukweli Madaktari kuwa alikuwa akisafirisha dawa hizo kwa kuzimeza.


Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa linamshikilia Mwasema Rashid (37) Mkazi wa Tabata Jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin alipokuwa akisafirisha kutoka nchini Msumbiji.

Akizungumza na Mwananchi jana Aprili 3, 2023 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Allan Bukumbi amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa machi 31, 2023 majira ya saa tano usiku Kijiji cha Mtandika Wilaya ya Kilolo akidaiwa kuelekea jijini Dar es Salaam alikokuwa akipeleka dawa hizo.

Kulingana na Bukumbi, mtuhumiwa alisafiri kutoka Dar es Salaam Machi 17, 2023 kwa kutumia usafiri wa ndege kuelekea Msumbiji, Machi 30, 2023 alirejea kupitia Jiji la Mbeya kwa kutumia usafiri wa gari

Bukumbi amesema mtuhumiwa alijulikana kuwa na dawa hizo za kulevya alipoenda Hospitali ya Mtandika kutibiwa baada ya kuhisi maumivu ya tumbo akiwa njiani na hali yake ilivyozidi kuwa mbaya Aprili 2, 2023 aliamua kuongea ukweli kwa madaktari kuwa alimeza pipi za dawa za kulevya aina ya heroin na hatimaye kutoa dawa hizo kwa njia ya haja kubwa.

"Hadi sasa mtuhumiwa ameshatoa pipi 58 za heroin kupitia njia ya haja kubwa chini ya uangalizi wa Madaktari na Askari Polisi, tunakamilisha upelelezi na baada ya hapo mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani", amesema Bukumbi.

Chanzo: Mwananchi
 
View attachment 2576220
Baadhi ya pipi za heroine zilizotolewa kwa njia ya haja kubwa na mtuhumiwa Mwasema Rashid baada ya kuwaambia ukweli Madaktari kuwa alikuwa akisafirisha dawa hizo kwa kuzimeza.


Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa linamshikilia Mwasema Rashid (37) Mkazi wa Tabata Jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin alipokuwa akisafirisha kutoka nchini Msumbiji.

Akizungumza na Mwananchi jana Aprili 3, 2023 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Allan Bukumbi amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa machi 31, 2023 majira ya saa tano usiku Kijiji cha Mtandika Wilaya ya Kilolo akidaiwa kuelekea jijini Dar es Salaam alikokuwa akipeleka dawa hizo.

Kulingana na Bukumbi, mtuhumiwa alisafiri kutoka Dar es Salaam Machi 17, 2023 kwa kutumia usafiri wa ndege kuelekea Msumbiji, Machi 30, 2023 alirejea kupitia Jiji la Mbeya kwa kutumia usafiri wa gari

Bukumbi amesema mtuhumiwa alijulikana kuwa na dawa hizo za kulevya alipoenda Hospitali ya Mtandika kutibiwa baada ya kuhisi maumivu ya tumbo akiwa njiani na hali yake ilivyozidi kuwa mbaya Aprili 2, 2023 aliamua kuongea ukweli kwa madaktari kuwa alimeza pipi za dawa za kulevya aina ya heroin na hatimaye kutoa dawa hizo kwa njia ya haja kubwa.

"Hadi sasa mtuhumiwa ameshatoa pipi 58 za heroin kupitia njia ya haja kubwa chini ya uangalizi wa Madaktari na Askari Polisi, tunakamilisha upelelezi na baada ya hapo mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani", amesema Bukumbi.

Chanzo: Mwananchi
Ma ngwea alikomaa sana

USSR
 
View attachment 2576220
Baadhi ya pipi za heroine zilizotolewa kwa njia ya haja kubwa na mtuhumiwa Mwasema Rashid baada ya kuwaambia ukweli Madaktari kuwa alikuwa akisafirisha dawa hizo kwa kuzimeza.


Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa linamshikilia Mwasema Rashid (37) Mkazi wa Tabata Jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin alipokuwa akisafirisha kutoka nchini Msumbiji.

Akizungumza na Mwananchi jana Aprili 3, 2023 Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Allan Bukumbi amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa machi 31, 2023 majira ya saa tano usiku Kijiji cha Mtandika Wilaya ya Kilolo akidaiwa kuelekea jijini Dar es Salaam alikokuwa akipeleka dawa hizo.

Kulingana na Bukumbi, mtuhumiwa alisafiri kutoka Dar es Salaam Machi 17, 2023 kwa kutumia usafiri wa ndege kuelekea Msumbiji, Machi 30, 2023 alirejea kupitia Jiji la Mbeya kwa kutumia usafiri wa gari

Bukumbi amesema mtuhumiwa alijulikana kuwa na dawa hizo za kulevya alipoenda Hospitali ya Mtandika kutibiwa baada ya kuhisi maumivu ya tumbo akiwa njiani na hali yake ilivyozidi kuwa mbaya Aprili 2, 2023 aliamua kuongea ukweli kwa madaktari kuwa alimeza pipi za dawa za kulevya aina ya heroin na hatimaye kutoa dawa hizo kwa njia ya haja kubwa.

"Hadi sasa mtuhumiwa ameshatoa pipi 58 za heroin kupitia njia ya haja kubwa chini ya uangalizi wa Madaktari na Askari Polisi, tunakamilisha upelelezi na baada ya hapo mtuhumiwa atafikishwa Mahakamani", amesema Bukumbi.

Chanzo: Mwananchi
Tutakukumbuka sana Dkt Magufuli, vijana sasa taifa limeruhusu wafe kwa madawa, hakika hili kundi lina power
 
Back
Top Bottom