Solarpanel
JF-Expert Member
- Oct 9, 2012
- 235
- 38
Kwa masikitiko makubwa naomba mwenye kujua dawa ya kukamata mwizi aniambie,maana hakika kilichonitokea nadhani sitakisahau,nilizoea shule za bweni wanafunzi walizoea kuibiana ila sikuwahi kufikiria nitakuja kukutana na hiko kitu mpaka maofisini kipo.tena kwenye taasisi ya fedha,mfanyakazi mwenzangu ambae sijaweza kumbaini mpaka sasa amediriki kuniibia kiasi kikubwa cha pesa ambacho hata sio mshahara wangu na nalazimika kukilipa.hakika nimechanganyikiwa na siamini,tafadhali naombeni ushauri na njia ya kumkamata