Dawa ya kudhibiti majani kutobolewa na wadudu!

M-pesa

JF-Expert Member
Sep 4, 2011
602
151
Wana Jf naombeni msaada wenu!
Nimepanda bamia na maharage takibari wiki mbili zilizopita. Mimea ilipoanza kuchomoza sehemu zote nilizopanda, ina urefu wa kama sentimita mbili sasa.
Lakini nimegundua kuna baadhi ya mimea imeanza kutobolewa na wadudu kwenye majani, na baadhi yake kuonesha dalili ya kuungua.
Je, ni dawa gani inayofaa kupulizia ili kuondoa tatizo?
Asanteni
 
wazee wa SUA tembeleeni hii thread ili mnisaidie mawazo yenu! Asanteni
 
Sina hakika, but tembelea duka lolote la agro-chemicals utapata dawa. Tatizo ni kwamba kama hao wenye agro chemical wakiwa waelewa watakuomba uende na sampuli za wadudu hao, maana si kila mdudu anauliwa na dawa yoyote!
 
Shukrani mkuu nitafanyia kazi ushauri wako.
Sina hakika, but tembelea duka lolote la agro-chemicals utapata dawa. Tatizo ni kwamba kama hao wenye agro chemical wakiwa waelewa watakuomba uende na sampuli za wadudu hao, maana si kila mdudu anauliwa na dawa yoyote!
 
Back
Top Bottom