sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Mh. Waziri Bashe na timu yako nzima mimi mkulima wa viazi nakushukuru sana Waziri Bashe. Kwa ufupi nimevuna magunia manne ya viazi nikapeleka sokoni narudishiwa mzigo wote wa viazi, vyote vina wadudu.
Nilipopanda viazi hivi nilimfata Afisa Ugani, wakati vilipoanza kuota maana hata rangi ya majani yake sikuilewa. Afisa ugani alipofika shamba akaniambie niende dukani kwake akaniuzie dawa ya kupulizia, inaonekana viazi vyangu vimeathilika na ugonjwa unaitwa Kantangaze kama sio ugonjwa huo basi vitakuwa mbegu ya viazi ilikuwa na ugonjwa wa Gono au kaswende.
Jamani, nikanunua dawa ya Kantangaze, baada ya kupulizia sikuona mabadiliko kwa kuwa Afisa alishaniambia nisipoona mabadiliko nirudi dukani kwake akaniuzie dawa ya Gono au Kaswende. Sikuona haja ya kurudi dukani kwake, nilienda pharmacy na kununua dawa ya Gono na Kaswende na kukoroga vile vidonge na kumwagilia shambani kwangu.
Leo hii naenda kuvuna nilichokutana nacho nadhani umekiona kwenye picha. Nakushukuru Mh. Bashe na Afisa Ugani, Mungu atanilipia.
Nilipopanda viazi hivi nilimfata Afisa Ugani, wakati vilipoanza kuota maana hata rangi ya majani yake sikuilewa. Afisa ugani alipofika shamba akaniambie niende dukani kwake akaniuzie dawa ya kupulizia, inaonekana viazi vyangu vimeathilika na ugonjwa unaitwa Kantangaze kama sio ugonjwa huo basi vitakuwa mbegu ya viazi ilikuwa na ugonjwa wa Gono au kaswende.
Jamani, nikanunua dawa ya Kantangaze, baada ya kupulizia sikuona mabadiliko kwa kuwa Afisa alishaniambia nisipoona mabadiliko nirudi dukani kwake akaniuzie dawa ya Gono au Kaswende. Sikuona haja ya kurudi dukani kwake, nilienda pharmacy na kununua dawa ya Gono na Kaswende na kukoroga vile vidonge na kumwagilia shambani kwangu.
Leo hii naenda kuvuna nilichokutana nacho nadhani umekiona kwenye picha. Nakushukuru Mh. Bashe na Afisa Ugani, Mungu atanilipia.