Dawa ya kuacha sigara

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Aug 13, 2019
965
1,347
#FAHAMU Ibrahim Yücel raia wa Uturuki aliamua kuvaa kofia maalumu kwa ajili ya kujizuia na uvutaji wa sigara baada ya kushindwa kuacha uvutaji.

Kofia hiyo alifunga kwa funguo maalumu na kumkabidhi mtu mmoja ambaye alikuwa akimfungulia muda wa kula chakula tu.

Mwanaume huyo alisema kuwa alianza kuvuta pakiti mbili za sigara akiwa na miaka 16 tu na alipofika miaka 42 aliamua kuchukua uamuzi huo #EastAfricaTV.

1686569362238.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom