kasopa
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 302
- 56
Kwanza nawaombarazi kwakua hapa simahala pake lakini naimani kuwa wengi hupitia sana hapa
Nduguzangu mimi na mwanangu huwa anasumbuliwa na kifua kwa muda mref juzi hopitali
wamegundua kuwa ana ASMAA nasikia kuwa inatibika nakupona kabisa lakini kwa kienyegi naomba mweyekujua wataalam wa tiba wamzaidie mwenenu
Natanguliza shukurani kwenu
Nduguzangu mimi na mwanangu huwa anasumbuliwa na kifua kwa muda mref juzi hopitali
wamegundua kuwa ana ASMAA nasikia kuwa inatibika nakupona kabisa lakini kwa kienyegi naomba mweyekujua wataalam wa tiba wamzaidie mwenenu
Natanguliza shukurani kwenu