Mtoto ana umri gani? Kama ni chini ya miaka 5 subiri afikishe miaka mitano then uangalie kama bado anasumbuka na hiyo PUMU. Watoto wangu miye huwa wana pumu lakini dr. akaniambia nisubiri wafikishe miaka 5 halafu ndio atanishauri nitumie tiba mbadala, you cant believe huyu mkubwa ambaye sasa ana miaka minne imepotea kabisa. Ila huyu mdogo bado kidogo lakini ameimprove sana. Ndugu zetu wahaya huwa wana dawa nyingi sana tafuta mhaya akusaidie au nenda kwa Dr. Rahabu yupo Buguruni petrol station pia kuna mganga ameandika anatibu pumu na meno hapo makumbusho nasikia naye ni mzuri.
Mkuu mtoto ana miaka mitatu na pia nashukuru sana kwa ushauriwako maelezo yako yamenipa ahuweni kwa kusema inaweza potea baada ya miaka mitano
Ubarikiwe
kuna dawa flani hivi ya kienyeji zaidi inatengenezwa hivi;
Mahitaji:
Yai (la kuku wa kienyeji)
pili pili manga ya unga(iliyosagwa)
Asali.
Matayarisho:
chukua pili pili manga vijiko vitatu vya chakula, Chukua asali vijiko ishirini vya chakula, changanya kwenye pili pili manga kisha chukua kiini cha yai changanya kwenye mchanganyiko huo.
Dozi:
kijiko kimoja cha chakula X3 kwa siku 7.
Jaribu hiyo mkuu ni dawa nzuri sana ambayo haina effects kiafya kwani vitu vyote hivyo ni natural.
Pole kwa mwanao.Kwanza nawaombarazi kwakua hapa simahala pake lakini naimani kuwa wengi hupitia sana hapa
Nduguzangu mimi na mwanangu huwa anasumbuliwa na kifua kwa muda mref juzi hopitali
wamegundua kuwa ana ASMAA nasikia kuwa inatibika nakupona kabisa lakini kwa kienyegi naomba mweyekujua wataalam wa tiba wamzaidie mwenenu
Natanguliza shukurani kwenu
Asante Mkuu Preta Mungu akubarikimuone mzizimkavu atakusaidia
namba yangu ni hii +905427150528 nipo nje ya nchi lakini.preta nipe namba yake
Dawa ya Ugonjwa wa Asthma Au kwa jina la kiswahili inaitwa Pumu Upate kiazi cha figili cheupe uchanganye na Asali Safi mbichi kiazi cha figili kimoja Asali kipimo cha kikombe cha chai ukisage kile kiazi cha figili kwa kutumia mashine ya blender kile kiazi cha figili tia kidogom-PM ni member wa JF
sana maji ndani yake kipate kusagika kwa mashine ili kiwe kama uji mweupe kisha sagika kile kiazi cha figlii changanya na ile asali ya kipimo cha kikombe cha chai. Matumizi yake awe anakula kijiko
kimoja kila siku Asubuhi na Mchana na Usiku kutwa mara tatu Kabla ya kula kitu kwa muda wa siku 40. tafadhali kila inapokwisha uitengeneze hiyo dawa na usiache hata siku moja kuto kutumia ile
dawa yaani usiruke hata siku moja baada ya siku 40 matatizo yake yamekwisha huyo mtoto wako jaribu utanijuulisha matokeo yake asanteni. Asante mkuu preta