Dawa ya ashki kwa wanawake inahitajika(libido boost medicine)

Dawa ipo ninadawa nzurisana za ashirki kwa wanaume na wanawake ni dawa ya mitishamba ni nzurisana.inaleta msisimko wa ajabu ndani ya mwili na kuleta hamu kubwa ya kufanya tendo la ndoa na kuleta raha ya ajabu ndani ya mwili kiukweli utaipendasana.kama unaitaji ntafute 0759217720


Shukran mkuu
 
Wanasema ni mafuta ya mchaichai kama sikosei ila kwa msaada zaidi tembelea hapa
MWANAMKE NA NYUMBA
ameeleza vizuri dawa ni za mitishamba zinazopatikana kwenye mazingira ya kawaida
kama unaweza kula pweza kula na samaki hasa wa ziwa victoria,punguza vyakula vya mafuta na vyakula vilivyo kobolewa
kula dona,kula parachichi,na jitahidi sana kuepuka chips
na uwakika utakuja kutuambia hapa imefanya kazi epuka vyakula vya sipemarket epuka
 
Wanasema ni mafuta ya mchaichai kama sikosei ila kwa msaada zaidi tembelea hapa
MWANAMKE NA NYUMBA
ameeleza vizuri dawa ni za mitishamba zinazopatikana kwenye mazingira ya kawaida
kama unaweza kula pweza kula na samaki hasa wa ziwa victoria,punguza vyakula vya mafuta na vyakula vilivyo kobolewa
kula dona,kula parachichi,na jitahidi sana kuepuka chips
na uwakika utakuja kutuambia hapa imefanya kazi epuka vyakula vya sipemarket epuka

Ahsante sana mkuu
 
Hello wakuu

Kabla sijajiunga na JF

Nimekua nikipitia nyuzi mbali mbali hapa jamii forum kwa kila jukwaa na pia niliona nyuzi mbali mbali kuhusiana na kukosa hamu ya tendo kwa Wanawake pamoja na kusoma comments za wadau mbalimbali

Lakin stil sijaona suluhu yaani dawa ya kuleta ashki iliyopimwa mamlaka ya afya na kuthibitishwa katika matumiz.....nkaona ni vyema nikajisajili JF na kutoa hii post huenda nkapata msaada juu ya hili tatizo langu hii ndio post yangu ya kwanza mm humu JF sio mgeni mara nying napita juu tú na kusoma yaliyomo nkaona ni vyema nkawa member kabisa

Jamani nahitaji dawa ya ashki kwa yoyote mwenye nayo anisaidie tafadhali.ama anielekeze zinapopatikana tafadhali

Najitahidi sana kumuomba Mwenyez Mungu juu ya hili tatizo ila bado sijapata dawa wala ufumbuzi ila najua Mungu ndio kila kitu.na ntapona ivyo kwangu Mwenyez Mungu ndio kila kitu

Njia nyingine

Nishaenda kwa psychologists but it doesn't.work.....nishaenda hospital but they told me I don't have any problem......nishachekiwa vipimo vya kila namna Sina jini mahaba wala nn na Sina stress zozote zile sababu naishi maisha mazuri sana ambayo kila mmoja angetamani ayapate

Lengo haswa la uzi huu nahitaji dawa tu nasio ushauri tafadhali naomba mnielewe.....nahitaji dawa ya ashki tú iwe ya mitishamba ama yoyote ile kikubwa iwe imethibitishwa kimatumizi

Kwa yoyote mwenye dawa ya ashki kwa Wanawake anipatie tafadhali ....sitaki jokes kua serious na kama huna mchango potezea tú


Nb nimeolewa na ndoa yangu bado ni changa!

Mwenye iyo dawa tujuzane.....Ahsanteni!
Mkuu vipi ulifanikiwa kupona tatizo lako? Tunategemea mrejesho kama shemeji sasa anapiga kazi mpaka nawewe unaenjoy.
 
Jaribu kufanya yoga kwa sana yale special kwa increasing your libido,au tuseme sex drive,pia kama ulikua hufanyi mazoez anza kufanya mazoez,hope itakusaidia
 
Utakua ulizoea kujipiga finger siku za nyuma.. Tabia yenu ya kuchagua weeee wanaume ,ukakubali kujikorokochoa kidole eti kwakua mwanaume wa ndoto hujampata.. Ona sasa,... wanaojua madhara huwachukua hata houseboy kuwasha kipele. Hapo unahitaji fundi haswaaa anayejua kuyarudisha makali, kama mimi hapa... Ila kwa sasa niko busy ningeweza kukusaidia.. Lakini ukikosa kabisa nione ntajihidi hivyo hivyo kukusaidia, ntafanyaje sasa na mimi ndio nna huruma hivyo.
 
Utakua ulizoea kujipiga finger siku za nyuma.. Tabia yenu ya kuchagua weeee wanaume ,ukakubali kujikorokochoa kidole eti kwakua mwanaume wa ndoto hujampata.. Ona sasa,... wanaojua madhara huwachukua hata houseboy kuwasha kipele. Hapo unahitaji fundi haswaaa anayejua kuyarudisha makali, kama mimi hapa... Ila kwa sasa niko busy ningeweza kukusaidia.. Lakini ukikosa kabisa nione ntajihidi hivyo hivyo kukusaidia, ntafanyaje sasa na mimi ndio nna huruma hivyo.
Teh
 
Back
Top Bottom