Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
wana dawa kibao..ww waone watakusaidia..ww mafua ni ishu ndg sana..poleMafua ya mara kwa mara nikitumia hivyo vitu
wana dawa kibao..ww waone watakusaidia..ww mafua ni ishu ndg sana..poleMafua ya mara kwa mara nikitumia hivyo vitu
Asante ngoja nifanye hivyowana dawa kibao..ww waone watakusaidia..ww mafua ni ishu ndg sana..pole
yes ,zinapatikana.Hizi dawa zinapatikana famasi kweli mbona majina magumu?
Seriuos still?Kwani kaka unajua dawa yoyote ya Asili?
Maana nimevimba vimba, na bado nazidi kuvimba.