omba mtu anayeenda south africa atakuleteakuipata apple cider vinegar 'with mother' ni mziki nishatafuta mno masupermarket ya dar na mwanza lakin sikupata
omba mtu anayeenda south africa atakuleteakuipata apple cider vinegar 'with mother' ni mziki nishatafuta mno masupermarket ya dar na mwanza lakin sikupata
Ukipata hata ya kawaida Apple Cider Vinegar iwe Organic inatosha.kuipata apple cider vinegar 'with mother' ni mziki nishatafuta mno masupermarket ya dar na mwanza lakin sikupata
Mi pia. Nafikiria kwenda Mlimani City maybe nitabahatisha.kuipata apple cider vinegar 'with mother' ni mziki nishatafuta mno masupermarket ya dar na mwanza lakin sikupata
kweli mkuu hata mie nishaitafuta saaana haipatikanikuipata apple cider vinegar 'with mother' ni mziki nishatafuta mno masupermarket ya dar na mwanza lakin sikupata
Propanga za Wazungu Apple Cider Vinegar inapokuwa nje ni Acid lakini unapo ichanganya na Maji ya Uvuguvugu na Asali na ukanywa inakuwa ni Alkaline. Na inatibu maradhi mengi mwilini mwako.Yahoo News, 25 August 2017 ...
Does apple cider vinegar promote good health? Expert: 'it’s not a magical elixir'
Nanukuu baadhi ya maelezo kwenye hiyo makala: ''... Hogan added that a potential downside to apple cider vinegar is that "it's really acidic, especially if you consume it in its concentrated form,"...
kuipata apple cider vinegar 'with mother' ni mziki nishatafuta mno masupermarket ya dar na mwanza lakin sikupata[/
Haukwenda Shule nini Mkuu?umekimbia umande wa Asubuhi?Hebu soma vizuri upate kuelewa pamoja na kujuwa sijasema Baking Soda na Apple Cider Vinegar peke yake soma vizuri hapo juu ndipo utakapo pata kuelewa.
Mchanganyiko huo hauna madhara kwa mjamzto?kuipata apple cider vinegar 'with mother' ni mziki nishatafuta mno masupermarket ya dar na mwanza lakin sikupata
Nilete Ufafanuzi wa kitu gani tena?Wakati nimeweka kila kitu kipo wazi? Wengine mnakuja kuniharibia Thread yangu kwa makusudi kwanini hamfunguwi Thread zenu na sisi wengine tukaweka maneno yetu? Kama hujuwi kitu bora uulize sio kuleta maneno ya pumba.u
Unachotakiwa utoe ufafanuzi na si kusema kuwa anaelimu au hana, uwe lugha iliyo nzuri unapoleta uzi ambao ni elimu kwa wale wanaousoma, vinginevyo usilete.
DahView attachment 548195 View attachment 548196 View attachment 548215
Your Body Is Acidic. Here’s What You NEED To Do (The Real Truth Behind Cancer). His actually means that the body will become acidic and this will accelerate the development of cancer if the lacks oxygen..
Ipo ile supermarket pale makumbusho bei yake ni 6000kuipata apple cider vinegar 'with mother' ni mziki nishatafuta mno masupermarket ya dar na mwanza lakin sikupata