Hii imemtokea jamaa wangu wa karibu, walikuwa katika mahisiano takriban miaka miwili.
Baadae ilikuja kugundulika mwanamke ni mchepukaji, anagawa penzi kwa vidume wengine.
Muda siyo mrefu jamaa akaamua kumpiga demu chini.
Kitendo cha huyu demu kupigwa chini na mshkaji kilimuuma sana na baada ya wiki moja demu akaamua kutengeneza video akiwa na mchepuko wake kisha akamtumia mchizi wangu hiyo Clip.
Jamaa hili jambo lilimuumiza sana na ile clip alinionyesha namna demu alivyokuwa anakazwa huku akiamriwa na huyo mchepuko wake aropoke maneno ya kumtusi jamaa wangu wakati wanasex.
Jamaa aliniambia nimshauri nini cha kumfanyia huyo demu wake nikamwambia hiyo clip ingekuwa vyema ukamuonyeshe babaake mzazi maana mlishatambulishana kwa wazazi wake na wanayo taarifa kuwa mna mipango ya kufunga ndoa.
Jamaa aliniambia hakuwa na sababu ya kuchoma mafuta mpaka kwa wazazi wake ilhali hategemei kurudiana na huyo demu wake, kimasikhara jamaa aliituma Whatsapp kwa baba mzazi wa msichana bila ajizi.
Mpaka sasa sijajua kilichoendelea huko.
Wanawake kuweni makini siyo kila mwanaume utaweza kumdhalilisha akakuvumilia.