halafu ukute ni baba anayependa kuangalia pilao.. anakutana na pilao la mwanae
hakuna dawa hapa wala chanjo....analeta stori zake na beib wake
Sasa mleta uzii mi nitakuamini vp unachosema kama kina ukweli..??
Embu nitumie hiyo clip niione kama ili ku-prove unayoyasema!
Au we unaionaje mkuu?? mimi simuamini hata kidogo mpaka ni-proveHahaaaaa...
Au we unaionaje mkuu?? mimi simuamini hata kidogo mpaka ni-prove
Kuna utata mkubwa hapo......mim nilovo na hasira ningeisambaza hiyo video kwa marafik zake maana bint kaamua kujidhalilisha....Kuachwa tu tena kwa sababu ndo anafanya huo ujinga...Ingekuwaje kama jamaa ndo alikuwa mchepukaji....mabint wanaharibika
Hivi mtu ukikaa uchi(kutuma video wakat unaliwa) na mtu mwingine akakuangalia(kukusaidia kufoward ili watu wengi wakuone zaidi kwa sababu hukuweka limit ya nani na nani atumiwe hiyo video) nani mwenye upungufu wa akili...
Ukikubali ushauri wa kipumbavu(kurecord porno) na wewe ukaufanyia kazi wewe ni mpumbavu na usilaumu yoyote kwa matokeo yoyote yatayotokea....
Hekima nikuondoa chanzo cha tatizo na siyo kuhitaji huruma kutokana na matokeo....
we subiri tuWe miss chaga wewe hiyo pilao aya tusubr
Sijakuelewa,
uyo jamaako ni mjinga