Dawa: Akina dada wachepukaji

Dawa: Akina dada wachepukaji

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,364
Reaction score
27,755
Hii imemtokea jamaa wangu wa karibu, walikuwa katika mahisiano takribani miaka miwili. Baadae ilikuja kugundulika mwanamke ni mchepukaji, anagawa penzi kwa vidume wengine. Muda siyo mrefu jamaa akaamua kumuacha msichana.

Kitendo cha huyu msichana wake kuachwa na mshkaji kilimuuma sana na baada ya wiki moja msichana akaamua kutengeneza video akiwa na mchepuko wake kisha akamtumia mshkaji wangu hiyo Clip.

Jamaa hili jambo lilimuumiza sana na ile clip alinionyesha namna msichana wake alivyokuwa anafanya mapenzi huku akiamriwa na huyo mchepuko wake aropoke maneno ya kumtusi jamaa wangu wakati wanafanya mapenzi.

Jamaa aliniambia nimshauri nini cha kumfanyia huyo msichana wake nikamwambia hiyo clip ingekuwa vyema ukamuonyeshe baba yake mzazi maana mlishatambulishana kwa wazazi wake na wanayo taarifa kuwa mna mipango ya kufunga ndoa.

Jamaa aliniambia hakuwa na sababu ya kuchoma mafuta mpaka kwa wazazi wake ilhali hategemei kurudiana na huyo msichana wake, kimasihara jamaa aliituma Whatsapp kwa baba mzazi wa msichana bila kujua. Mpaka sasa sijajua kilichoendelea huko.

Wanawake kuweni makini siyo kila mwanaume utaweza kumdhalilisha akakuvumilia.




 
chakii

sasa sababu ya kumtumia baba ake hio clip ni nini?? kwani yeye aliituma kwa mama wa huyo jamaa yako??!!!
 
Last edited by a moderator:
sasa sababu ya kumtumia baba ake hio clip ni nini?? kwani yeye aliituma kwa mama wa huyo jamaa yako??!!!


Ni hasira tu mkuu, we ungefanyaje....
 
Utovu wa nidhamu.huyo uliyemtumia huo uchafu ni baba yako.kosa la mwanaye linamuhusu vipi mzazi?!kwani unafikiri baba yake hajui binti yake anagegedwa?! uamuzi mbovu sana kuwahi kuusikia
 
Sasa kumtumia baba yake mzazi ni upungufu wa akili huo ,, wote walikuwa hawana akili....... walikutana kama hupendwi hata ufanyaje hutapendwa
 
sasa kumtumia baba yake mzazi ni upungufu wa akili huo ,, wote walikuwa hawana akili....... walikutana kama hupendwi hata ufanyaje hutapendwa

Haha nilikuw niku tag hapa. Ila kesi ya nyani amepew sokwe.
Wanawake mnalindana sana.

Thou jamaa kafany wrong kutuma kwa mshua wake demu
 
Haha nilikuw niku tag hapa. Ila kesi ya nyani amepew sokwe.
Wanawake mnalindana sana.

Thou jamaa kafany wrong kutuma kwa mshua wake demu
hapa sijamlinda huyu demu ila jamaa na demu wote akili hawana,,,, kumtumia mshua ni kosa kubwa sana
 
Kwani angekaa kimya angepungukiwa nn? in short kakurupuka ka braza k
 
Mwanamke hajafanya vyema na vilevile kwa mwanaume.

Ila mwanaume kafanya vibaya zaidi na zaidi kwani yule ni mzazi wake na hakuwa na haja ya kufanya vile.

ingekuwa mimi ni yeye ningepunguzia hasira zangu kwa mchepuko wa jamaa yake na rafiki zake demu na si hivyo alivyofanya.

Huu ndo mtazamo wangu.
 
Sasa uyo jamaa yako kadhalilishwa vipi na nani?? yeye alifumania kapigwa chini na mvideo juu... udhalilishaji kaufanya mwenyewe!! kajidhalilisha yeye kajishushia heshima yake na ya mburula mwenzake.......ahahahaaa i wonder huo uhusiano wake na uyo bidada ulikuaga na vibwanga gani.....na isitoshe si jamaa ni wewe mwenyewe umekuja kujipongezea hapa ukisubiri majibu ya mkweo whatsapp
 
Duh..., ndio maana demu kakumuacha jamaa yako!

Upstairs ni ZERO!
 
Sipati picha baba ya binti wakati ameifungua hiyo Clip na kushuhudia mtanange wa binti yake na mkongo wa jamaa...
 
Back
Top Bottom