Davis Mosha afungua studio yake!

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,702
22,742
Davis Mosha ambaye aliyekuwa mgombea Ubunge Moshi mjini kupitia CCM 2015, afungua studio yake. Hii ni kwa mujibu wa ukurasa wake wa Facebook.

Tunaomba wenye taarifa zaidi watujuze masafa ya vipindi vya redio na Television yake.
 
Mbona le mutuz anasema sio ya mosha peke yake bali ni yeye le mutuz na Mosha wanamiliki kwa pamoja
 
Le Mutuz ni share holder kwenye Swahili media ana hisa ya 0.001% kuna Uzi uliwekwa humu ,he's so humble you know.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…