Davido atambua mchango wa Tanzania

Davido atambua mchango wa Tanzania

Davido love Tanzanians, just because Tanzania is a part and parcel of Africa, simply Davido is a real patriotic man.
Nashukuru binafsi sio sehemu ya ujinga na hata wewe deep inside unafahamu si kwamba una mapenzi na Davido bali una chuki na Mtanzania mwenzako na hivyo kuona ni heri ashinde Mnigeria kuliko Mtanzania unayemchukia tena bila sababu. Yaani badala ya kuhangaikia Kiba afanye vizuri mnahangaikia Diamond afanye vibaya ili awe kama Kiba. Thanks God kwa kunipa uwezo wa kujitambua.
 
Zaid ya ajabu" ila ni elimu tu ndio solution ujinga bado unatawala sana. Sawa kila mtu anachoice yakuvote bt ukiangalia wanavote kwa davido cz labda Wema aliachwa na mondi au Mondi kuwa juu ya kiba hvo tu. Sasa kama c chuki ni nn
Nimesoma hii post Instagram aibu nimeona mimi
 

Attachments

  • 1434819462486.jpg
    1434819462486.jpg
    40 KB · Views: 199
Nimeona mamy ila avumilie tuu maana davido ndo habari ya mjini

atapani saaaaana analazimisha niwe team ropo....big nooooooooooooo. haha eti nauza km ni hivyo basi huwa nauza na mama ake ndo maana anatujua heheheheeeeeeeee
 
tena muache unafiki sasa km mnaona tunawaaibisha kwa kuwa na hakiya kuchagua tukitakacho why mko hapa kwenye huu uzi?????? get life
 
Kamuacha wema na pia kamchukua mganda badala ya mtz hivo roho za wanawake wa kitz zinauma....
nanukuu kuna dada mmoja insta anaitwa siahkhamis kaandika "kwanini atuache sisi watanzania akachukue mwanamke mganda"

ushauri kwa kwa davido akija kupiga mti mmoja wapo huku tz(mheshimiwa wema) atapendwa zaidi ya hapa

noma sna yani wanaake wajinga hawa na mbunge wao huyu wanafanya tunaonekana wote matahira diamond sijui alikuwa anaipakaga asali kabla hajachomeka maana anamfanya dada wawatu anachanganyikiwa
 
Kwahiyo mkenye ndiyo kipimo chetu watz? Who is Kenyans by the way?

Vote for Davido.
Yani mpaka majiran zetu wanatuona wajinga na hizi team za kijingajinga!!We ka una vote kwa Davido vote lakin sio kusambaza kampen kushawishi na wengine wampigie!!Na kama sio Diamond huyo Davido bongo asingejulikana kiivyo!!Watu tuna akaunti 4 tunavote kila siku sasa tutaona kati ya hizo category lazima mbili au ka c zote Tanzania washinde!!
 
atapani saaaaana analazimisha niwe team ropo....big nooooooooooooo. haha eti nauza km ni hivyo basi huwa nauza na mama ake ndo maana anatujua heheheheeeeeeeee

Mamy achana nao hawa saivi washakata tamaa acha watape tape kama kuku anayechinjwa sisi tunavote for davido
 
Hawanisumbui ndugu yangu, mie nimeshawadharau zamani sana manake nafahamu kinachowasumbua ni kutojitambua! Na wasivyoona aibu wanapofanya mambo kwa majigambo as if wanafanya jambo la maana kumbe wanachofanya mbele ya wenye akili zao ni ujinga uliovuka mipaka ya ujinga.

halaf ukiangalia karibia wote wanao shadadia kumpigia kura davido wana shida fulani kisaikolojia...
 
Watanzania utakapoona wajinga wanadhani wanamuziki wa Nigeria wote wanapendana! Hakuna kitu kama hicho lakini huwezi kuona wanaendesha kampeni kwamba eti wamchague Diamond au mwingine yeyote kwa ajili ya kumkomoa yule wasiemtaka! Hata kama mtu anachuki say na davido au Wiz, atafanya hivyo kimya kimya kuliko kujitoa ufahamu na kuanza kampeni za wazi wazi. Yaani tunakosa hata busara za kuficha ujinga wetu.
 
halaf ukiangalia karibia wote wanao shadadia kumpigia kura davido wana shida fulani kisaikolojia...
mie huwa napitaga hapa kusoma tu lakini nilichogundua, wengi wao ukiwasoma kati kati ya mstari unaweza kung'amua hata mapungufu ya ufahamu wao.
 
Back
Top Bottom