maneno ya kafulila jana jioni hapa dodoma
" huu mjadala watu kukana hauna maana kabisa. wote wanaokana ndio wapiga debe wakubwa. waliyasema haya wanayoyakana. ni unafiki ndio unaowasumbua na uoga. kabla ya kuondoka, wote tulikaa pale sinza na kwa pamoja wakasema wanamuunga mkono, tukafika Kigoma wakarudia maeno yale yale ya kumuunga zitto. Iweje leo wanakana? Asilimia 85% ya wabunge wanamuunga mkono zitto kugombea urais. Wana kigoma tumeonewa sana. Muda umefika kuwepo usawa katika uongozi wa hii nchi. Hatuwezi kuwa wasindikizaji siku zote, wakati uwezo tunao. Tunaungwa mkono kila kona ya nchi na hata nje ya nchi, na kama ni demokrasia 2015 rais na makamu wake lazima watokee Kigoma.Rais wa Tanzania, Afrika Kusini, ujerumani na Malaysia wote wanataka umuona rais kijana Tanzania.Vyama vyote vya siasa humu nchini wanamtaka rais kijana, Kikwete mwenyewe anamtaka atakayemrithi awe kijana"
----------------------------------
Edward Lowassa For President 2015
Kafulia oo sorry,Kafulila atambue kuwa hatuchangui raisi eti kwa kigezo cha ukanda fulani hatujatoa raisi,kama ni hivyo basi tuanze na Mwanza. Kafula asituletee siasa za Kiburundi hii Tanzania,awamu hii mtaweka pingamizi hadi la wenye mvi wasigombee ukweli EL anawasesemya.Hayo ni maneno ya kafulila au ni uamuzi wake lakini sio maamuzi ya watanzania!
NCCR hili shipa litawasumbueni sana unaona linaleta sera za ukanda wa Burundi hapa Tanzania. Kama Zitto anazosifa,agombee ruksa lakini si kigezo cha ukanda kama ni hivyo basi nasisi kanda ya ziwa Magufuri au Lishibuda yapashe misuri kwani tunawenza kabsa kuweka raisi tukiamua kufuata sera za Kafulila.Sasa mbona hamueleweki mara maneno yaliongelewa kigoma mara sinza....uupuzi mtupu yaani kuanzia kafulila hadi zito wote ni waroho wa madaraka hawafai kabisa waogopeni kama ukoma
Sasa nishaanza kuwa na mashaka na CHADEMA,ndugu nauliza lakini iwe siri huyu waziri wa Ma laya sorry Malysia ni mwanaume au mwanamke,nauliza tu ndg zangu halafu nilale maana alimwalika Zitto peke yake!Kama sikosei mwaka jana Zitto alienda Malaysia na kama kawaida media zika-report kuwa alialikwa na Waziri mkuu mstaafu wa Malaysia!!! yaani waziri mkuu wa Malaysia anamualika mbunge mmoja tu toka Tanzania!
Hata aje Bashar Al Assad na Ma chemical yake sitoki CCM ng'o mijitu kwa sifa tu ya kuongea uongo bungeni ishajiona inafaa kuwa rais! Mnamzidi nini January Makamba/ Ester Bulaya? Unafunga nanihii......halafu K kwa jirani! Mwakeye/mwindiwe,amaki. Tehe tehe tehe.Naam kweli atatatokea Kigoma maana makafara tunayaona kila shirika la ndege likileta ndege huko lazima zipate ajali.