David Kafulila: Rais 2015 Lazima Atokee Kigoma

David Kafulila: Rais 2015 Lazima Atokee Kigoma

Status
Not open for further replies.
Huyu nae si ni mwanachama wa chauma?
 
KIjana lijali kageuzwa kama Mbinti ,Kafukia hafurukuti,nyota ya kisiasa imeisha pole Kafulila uko short sighted si kosa lako
 
Tutachagua Rais wa nchi si raisi wa Kigoma, ni hoja dhaifu kusema kuwa kigoma imeonewa kwani zaidi ya mikoa 20 hapa Tanzania haijatoa Rais wa nchi, Urais hautolewi kwa zamu kuzingatia mikoa bali uwezo na sifa za wagombea husika. Niutafiti gani unaowafanya waone mgombea wao anapendwa nchi nzima.
 
Wakigoma ni wanafiki,Ukigoma si sera,bali tunahitaji mtu mwadilifu bila kujali anatoka mkoa gani.
 
Hivi Kafulila ni miongoni mwa Masilia camp au Masalia group?? Halafu hii dhana ya Ukabila iliyoasisiwa na CCM kama ilivyo hoja ya udini itakuja kutuletea machafuko maana watu wanadaka tu ilimradi wafanikishe malengo yao kupitia hoja hizo za kipuuzi.Eti lazima atoke kigoma.(Lazima ni ishara ya Udikiteta) wana wa Kigoma tuna akili timamu sio wa kupelekeshwa na kauli za kihuni tu.
 
1; Asilimia 85% ya wabunge wanamuunga mkono zitto kugombea urais. 2;Wana kigoma tumeonewa sana. Muda umefika kuwepo usawa katika uongozi wa hii nchi. Hatuwezi kuwa wasindikizaji siku zote, wakati uwezo tunao. Tunaungwa mkono kila kona ya nchi na hata nje ya nchi, 3; Afrika Kusini, ujerumani na Malaysia wote wanataka umuona rais kijana Tanzania. 4;Vyama vyote vya siasa humu nchini wanamtaka rais kijana, 5;Kikwete mwenyewe anamtaka atakayemrithi awe kijana 2;wanakigoma wameonewa sana....."na nani???wanaungwa mkono kila kona ya nchi.........na nani???hao waliowaonea ndio wanaowaunga mkono? 3 Afrika kusini,ujerman na Malasia wanataka kuona rais kijana Tanzania...........wao wana rais vijana?ndio wanaopiga kura Tanzania??wanataka kijana kwa maslah ya nani? 4;Vyama vyote vya siasa wanataka rais kijana........so CCM-Membe?mana ndo afadhal ktk wanaotajwa had sasa..NCCR-Kafulila??TLP??au wote wamesema wanamtaka Zitto? 5;Kikwete mwenyewe??????WTF Hii haiez kua kauli ya Kafulila achen kumpaka matope mheshimiwa.
Ukisikiliza logic za wana kigoma utawaonea huruma sana.utaomba reli ifufuliwe mapema il awaweke kituo cha usaili na orientation kabla hawajaingi dar. Mtadhani mzaha ila wabongo wengi hawan amfunzo ya msingi ya kukaa mezani kwa chakula, kutumia vyoo, kupiga mswaki, kujibu maswali , kujitambulisha na kutambulisha wengine.
 
Kigoma bado sn mkoa auna ata umeme bwana akha rais hapana labda wapewe wizara maalum km mwandosya.
 
siku mtusi akishika nchi hii lazima niingie msituni kuikomboa kwa hali na mali.of all the people ZZK awe nani? masalia hawezi kuwa president wa nchi hii. NEVER,NEVER.
 
mzee hapo umenoa, zito kuwa raisi sio tatizo ila si lazima rais awe zitto. jamani tuache ukabila kwenye siasa, why KGM rais na msaidizi wake? au ww umetumwa?
 
kazi kwenu mimi nashughulikia mdhamana wa sheikh ponda sasa kama mtu anatoka kigoma ni mrundi hata sheikh ponda ameambiwa ni mrundi mbona DR SLAA NI MUIRAQ AMETOKA BAGHDAD

Kumchagua Zitto kuwa Rais ni kosa kubwa kama la wana Korogwe kumchagua Prof. MM !!!!!!
 
Akil za njaa utazijua,hazifikir jins ya kumkwamua mtanzania na tanzania kwa ujumla katika umaskin bal umim na usis uwewajaa..unafikir ni wanakigoma2 wanataka watoe rais hata mikoa,makabila,koo,familia nyingine zinataka kutoa rais,.just imagine m2 anataka miaka ya kuwania urais upunguzwe il agombee urais hiz njaa kabisa,akil za kimaskin..
 
basi na si wangon tunataka rais tumekuwa tukionewa sana rais na makamo wake watatoka songea
 
David, hata wewe unasumbuliwa na ukanda!!! Mpaka ifikapo 2015 mtakuwa mmejitokeza wote ndipo tutakapochambua pumba na mchele. Raisi ajaye amjuaye ni mungu peke yake, acha uswahili wewe!!!!
 
maneno ya kafulila jana jioni hapa dodoma

" huu mjadala watu kukana hauna maana kabisa. wote wanaokana ndio wapiga debe wakubwa. waliyasema haya wanayoyakana. ni unafiki ndio unaowasumbua na uoga. kabla ya kuondoka, wote tulikaa pale sinza na kwa pamoja wakasema wanamuunga mkono, tukafika Kigoma wakarudia maeno yale yale ya kumuunga zitto. Iweje leo wanakana? Asilimia 85% ya wabunge wanamuunga mkono zitto kugombea urais. 4.Wana kigoma tumeonewa sana. Muda umefika kuwepo usawa katika uongozi wa hii nchi. Hatuwezi kuwa wasindikizaji siku zote, wakati uwezo tunao. Tunaungwa mkono kila kona ya nchi na hata nje ya nchi, na kama ni demokrasia 2015 rais na makamu wake lazima watokee Kigoma. 1.Rais wa Tanzania, Afrika Kusini, ujerumani na Malaysia wote wanataka umuona rais kijana Tanzania.2.Vyama vyote vya siasa humu nchini wanamtaka rais kijana, 3.Kikwete mwenyewe anamtaka atakayemrithi awe kijana"



----------------------------------
Edward Lowassa For President 2015
1.hizo nchi zenyewe mbona hawachagui maraisi vijana kama raisi kijana kwao ni muhimu sana......afrika kusini Malema yuko wapi wampwe uraisi basi....hao wajerumani Chancellor ni kijana

2.hivyo vyama vya siasa vilikaa lini kukubaliana wanahitaji raisi kijana

3.kwani kikwete ni nani mpaka atuchagulie raisi....kama sio anatafuta kulindwa baada ya kutoka madarakani

4.kijana kwani lazima atoke kigoma tu au zitto tu ....vijana mbona wapo wengi......silinde,bulaya,wenje,dewji,machali,mdee n.k

kijana,kijana,kijana..........hii ni agenda ya kipuuzi.......
 
maneno ya kafulila jana jioni hapa dodoma

" huu mjadala watu kukana hauna maana kabisa. wote wanaokana ndio wapiga debe wakubwa. waliyasema haya wanayoyakana. ni unafiki ndio unaowasumbua na uoga. kabla ya kuondoka, wote tulikaa pale sinza na kwa pamoja wakasema wanamuunga mkono, tukafika Kigoma wakarudia maeno yale yale ya kumuunga zitto. Iweje leo wanakana? Asilimia 85% ya wabunge wanamuunga mkono zitto kugombea urais. Wana kigoma tumeonewa sana. Muda umefika kuwepo usawa katika uongozi wa hii nchi. Hatuwezi kuwa wasindikizaji siku zote, wakati uwezo tunao. Tunaungwa mkono kila kona ya nchi na hata nje ya nchi, na kama ni demokrasia 2015 rais na makamu wake lazima watokee Kigoma. Rais wa Tanzania, Afrika Kusini, ujerumani na Malaysia wote wanataka umuona rais kijana Tanzania.Vyama vyote vya siasa humu nchini wanamtaka rais kijana, Kikwete mwenyewe anamtaka atakayemrithi awe kijana"


Si vibaya kwa mtu kunuia kuwania urais kwa sababu anazozijua yeye mwenyewe hata kama ni za kikanda, ukabila na udini lakini si sahihi kushawishi watu kumchagua mtu kwa ajili ya sababu hizo nje ya sababu ya kuliinua taifa letu kiuchumi, kisiasa na kijamii. Yaani maendeleo kwa taifa.
Kama kuna mtu anahisi anauwezo wa kutuongoza atushawishi kwa uwezo wake juu ya namna gani hatatutoa hapa tulipo kama taifa na kutufanya kujivunia Tanzania yetu kwa kila mmoja wetu kufaidi rasilimali za nchi yake kwa nafasi yake kupitia huduma mbalimbali za kijamii zinazotolewa na serikali na na fursa za mtu kujiendeleza pale alipo kadri atakavyo kwa uwezo wake katika kusatawisha maisha yake na ya taifa kwa ujumla.
Hoja ya nani awe raisi ijengeni kupitia misingi hiyo kama mnaamini flani anastahili kuwa raisi wa nchi hii mtaeleweka bila shida na kupata sapport kubwa kwa umma wa watanzania na si vinginevyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom